Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bikra utazitoa wapi mkuu, Acha kujizima data , au ulikua jela ulifungwa 1923 ndo umetoka Leo?Jichanganyeni
DohWanakudanganya Kwa sababu za kitoto
Anashindwa kujenga hoja zenye mantikiWewe ndio unaujuaji WA kijinga, mtazamo wako wa kipuuzi unafikiri kila MTU anamawazo mgando kama yako
Anashindwa kujenga hoja zenye mantiki
Kanyweshwa chai ya mrina huyo.mkuu, bikra zinatoka wakiwa darasa la tano
Wanaume mnajidharaulisha sana. Mada nyingi mnazoanzisha zinadhihirisha uwezo wenu wa kufikiri. Hiyo bikra huyo binti alijitoa mwenyewe? Mbona mada nyingi humu ni za kuwakashfu wanawake? Hivi tukianza kuwatukana wanaume mnadhani mtatuweza?
Hivi tukija na conclusion kwamba asilimia kubwa ya wanaume ni mapungasese mtabisha? Your thinking capacity is below zero
Bikra zenyewe mnazitoboa kila kukicha,mnabaka wanafunzi kwa kisingizo cha embe bichi. Mnachezea mabinti za watu kwa kutaka kupata uzoefu wa mapenzi ,hizo bikra mtazisikia kwa wahenga tu
Mtazitoa hizo bikra kwa nguvu zipi? Nusu ya dar ni rainbowConclusion isiyo na Ukweli wala hatutashughulika nayo.
Vijana Oeni Wanawake Bikra.
Msijesema sijawaambia
Sasa kumbe nabishana na mtu yuko mombasa walishamvunja mabega🤣 no wonder. Huko tulishashukuru Mungu maana siku hizi mtoto wa kike hata akirudi saa sita usiku hawaulizi ila wa kiume saa kumi na mbili jioni uwe ndani.Kwa Akili zako fupi kila MTU humu yupo Dar, haya ndio madhara yenyewe sasa ya uchafu Ubongoni
Tunachukua kwa sababu ni sisi sisi tulio watoa hizo bikra yani ni kama tu mbwa akiamua kula mkia wake .Tatizo mmezoea kuchukua makurumbembe ndio maana vitu vipya hamvioni
Sasa kumbe nabishana na mtu yuko mombasa walishamvunja mabega🤣 no wonder. Huko tulishashukuru Mungu maana siku hizi mtoto wa kike hata akirudi saa sita usiku hawaulizi ila wa kiume saa kumi na mbili jioni uwe ndani.
Kuanzia leo kila anaekuja na mada kuhusu wanawake ni punga. Tumegeuka kuwa wake wenza na wanaume🤣
Uliza humu ndani wanaume wangapi walikuta hizo Bikra. Unaitaje MTU Mkeo alafu hukumkuta Bikra!