Vijana wataoaje Wanawake wasio na Bikra?

Vijana wataoaje Wanawake wasio na Bikra?

Wanaume mnajidharaulisha sana. Mada nyingi mnazoanzisha zinadhihirisha uwezo wenu wa kufikiri. Hiyo bikra huyo binti alijitoa mwenyewe? Mbona mada nyingi humu ni za kuwakashfu wanawake? Hivi tukianza kuwatukana wanaume mnadhani mtatuweza?

Hivi tukija na conclusion kwamba asilimia kubwa ya wanaume ni mapungasese mtabisha? Your thinking capacity is below zero
 
Wanaume mnajidharaulisha sana. Mada nyingi mnazoanzisha zinadhihirisha uwezo wenu wa kufikiri. Hiyo bikra huyo binti alijitoa mwenyewe? Mbona mada nyingi humu ni za kuwakashfu wanawake? Hivi tukianza kuwatukana wanaume mnadhani mtatuweza?

Hivi tukija na conclusion kwamba asilimia kubwa ya wanaume ni mapungasese mtabisha? Your thinking capacity is below zero

Conclusion isiyo na Ukweli wala hatutashughulika nayo.
Vijana Oeni Wanawake Bikra.
Msijesema sijawaambia
 
Kwa Akili zako fupi kila MTU humu yupo Dar, haya ndio madhara yenyewe sasa ya uchafu Ubongoni
Sasa kumbe nabishana na mtu yuko mombasa walishamvunja mabega🤣 no wonder. Huko tulishashukuru Mungu maana siku hizi mtoto wa kike hata akirudi saa sita usiku hawaulizi ila wa kiume saa kumi na mbili jioni uwe ndani.

Kuanzia leo kila anaekuja na mada kuhusu wanawake ni punga. Tumegeuka kuwa wake wenza na wanaume🤣
 
Sasa kumbe nabishana na mtu yuko mombasa walishamvunja mabega🤣 no wonder. Huko tulishashukuru Mungu maana siku hizi mtoto wa kike hata akirudi saa sita usiku hawaulizi ila wa kiume saa kumi na mbili jioni uwe ndani.

Kuanzia leo kila anaekuja na mada kuhusu wanawake ni punga. Tumegeuka kuwa wake wenza na wanaume🤣

Endelea kujifariji na hadithi zako kama huyo mpuuzi sijui Hariel,
Ni upuuzi kuoa Mwanamke asiye na Bikra.

Punga ni hao wanaookota marukumbembe yaliyochakaa Wakati kuna vyuma vipya
 
Back
Top Bottom