Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 7,755
- 11,737
- Thread starter
-
- #121
Kweli mdogo wangu,Tukiwa vijana miaka ya 1999,Kuna Mzee alikuwa anatushauri,tukawa tunamkimbia asitupe story za Fainali uzeeni!Sasa tupo hai na yeye yupo Hai,hadi Aibu!Kuna jamaa mpka Sasa anaishi kwao na hela alipata sana.Kujibana ujanani ni jambo zuri ila vishawishi navyo ni vingi sana,hii imewagharimu watu wengi sana,vijana hili ni somo msilidharau...
Kweli mkuu!Usiyoyajua ni mengi kuliko uyajuao ukiwa field
Sasa kama unahela ufanyeje!Si uliwekeza?!!!Unajibana ujanani ili uwekeze unakuja zibukia ukubwani umri wa kutulia we ndio upo bize sehemu za starehe na wajukuu.
Pana umri mengine ni kujidhalilisha tu,una miaka 50 unaingia club kucheza muziki watakushangaa watu ulichelewa wapi hadi ukaruka stageSasa kama unahela ufanyeje!Si uliwekeza?!!!
Ibadani ni umri wowote kama una Imani,Daudi alianza kumtumikia Mungu akiwa kijana,Samwel,Musa,Ibrahimu sio uwe Mzee Ndio umkumbuke Mungu,Mkumbuke Mungu wakati wa ujana wako,usije ukasema hili Sina furaha!Maandiko hayo.Pana umri mengine ni kujidhalilisha tu,una miaka 50 unaingia club kucheza muziki watakushangaa watu ulichelewa wapi hadi ukaruka stage
Huo ni umri wa kuwa Ibadani
Utawatumikiaje mabwana wawili,pesa na Mungu,lazima uchague moja pesa au Mungu.Hapo Sasa!Kama pesa ipo fanya vyote kwa pamoja.
Japo starehe Ina nguvu kuliko uwekezaji, huwezi ukawa na akili ya starehe ukawa na akili ya uwekezaji lazima kimoja kitaloose
Na huwezi mtumikia Mungu bila pesa,masikini hawawezi urithi ufalme wa Mungu maandiko yanasema.Utawatumikiaje mabwana wawili,pesa na Mungu,lazima uchague moja pesa au Mungu.Hapo Sasa!
Miaka 50 ni umri wa kuacha maasiNa huwezi mtumikia Mungu bila pesa,masikini hawawezi urithi ufalme wa Mungu maandiko yanasema.
Mungu anasema vitu vyote ni vyangu,Ardhini,Baharini na Nchi kavu!Sasa kama vyote ni vyake ,hizo sababu unazitoa wapi?!!Pia anasema humpa amtakaye na humnyima amtakaye!Wote anawataka, Sasa!Na huwezi mtumikia Mungu bila pesa,masikini hawawezi urithi ufalme wa Mungu maandiko yanasema.
Maasi hayatakiwi kwa vyovyote,Hayana umri Yesu akakua katika kimo na Hekima,akimpendeza Mungu na Wanadamu.Upo mkuu.Miaka 50 ni umri wa kuacha maasi
Chawa bana,maelezo meengi huna lolote choka mbaya weweAsante. Sio kila mtu anayesapoti Mama Samia ni chawa. Mkuu hata hawa vijana waliomaliza chuo miaka ya karibuni kuna baadhi wako vizuri hawajakaa na kujililia kwamba hakuna ajira. Mdogo wangu aliyemaliza ualimu alishtuka kabla hata ya kuhitimu na kuanza kilimo cha vitunguu. Alianzia chini sana kwa shamba dogo kama robo eka mwaka 2018. Sasa hivi katika umri wa miaka 23 anamalizia kujenga nyumba yake wakati kuna kaka zake wakubwa wengi tu hawana lolote ingawa wako kwenye ajira nzuri.
Muache apalilie si Ndio mambo ya Fainali uzeeni!Chawa bana,maelezo meengi huna lolote choka mbaya wewe
Mungu anataka sadaka,zaka,nk ibada ni kuwajali masikini yatima na wajane.Mungu anasema vitu vyote ni vyangu,Ardhini,Baharini na Nchi kavu!Sasa kama vyote ni vyake ,hizo sababu unazitoa wapi?!!Pia anasema humpa amtakaye na humnyima amtakaye!Wote anawataka, Sasa!
Pana umri mengine ni kujidhalilisha tu,una miaka 50 unaingia club kucheza muziki watakushangaa watu ulichelewa wapi hadi ukaruka stage
Huo ni umri wa kuwa Ibadani
Sio wote wenye NEEMA ya kuwa kwenye siasaHivi miaka 50 sindiyo umri wa akina Nape,January n.k?
Au ukiwa siyo mwanasiasa,uzee unakufika mapema?
We mzee una miaka 50 kweli unajua mpaka Mamanzi?Uko sahihi anataka aonekane anapesa,anataka alipe bill zote!Hasa akiona mamanzi.