Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
Hata angekuta hivyoUlimkuta bikra?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata angekuta hivyoUlimkuta bikra?
Raha ya ndoa mpendane wote aseeAu kuna aliyeona umri unasogea akaamua kusogeza kilicho karibu
Tutakumbusha, NDOA TAMU JAMANI VIJANA OENIMwaka 2024 tukiwa hai inshallah uzi utasomeka "mwanamke amebadilika baada ya miaka miwili ya ndoa je nifanyaje"
Kweli mkuu, hii ndoa Itakua bado changa mno,ni underfive hiiHuyu mtoa mada ndoa yake itakuwa hata mwaka haina,nadhan Katoka fungate juzi.
Ndoa yako bado ina wiki 2bila shaka ndyo maana unaleta upuuz wako hapa!! tunakupa mda tuWakuu Ndoa ni tamu ndiyo ndoa ni tamu kwan kuna mtu anabisha kwenye hilo
Emu fikiria unaamshwa asubuhi upate cha asubuhi baada ya hapo unasindikizwa bafuni kuoga
Muda huo nguo zinapigwa pasi ukimaliza mke anakusaidia kujiandaa ukimaliza unakunywa chai yako safi
Dah baada ya hapo anakuaga kwa maneno matam na yenye kukutia moyo unapoenda kutafuta riziki
Kila baada ya masaa 2 lazima haakikishe hali yako huko, ukirudi unapokelewa vizuri na maneno ya pole na ahsante
Jaman hayo ni baadhi ya mazuri ya ndoa nawashangaa mnaogopa kuoa
Mwanamke anakupa ushauri mzuri naukiufuata lazima tu ufanikiwe. Mke ndo anakuwa wa kwanza kuufariji pale unapokuwa na stress hakika tabasamu lake tu ni tiba ya mambo mengi kwangu
Vijana wenzangu tusiogope kuoa tafuta yule unaempenda na yeye anakupenda hakika siku zote hitajutia kuoa
Namalizia ndoa tamu mke ni faraja ni chanzo cha mafanikio yako
Usiogope kuoa
Sent using Jamii Forums mobile app
Haiweztoke kamwe
Mwez wa 6 mwaka huu nafanya anniversary ya miaka 10 ya ndoandoa yako bado ina wiki 2bila shaka ndyo maana unaleta upuuz wako hapa!! tunakupa mda tu
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Wwe je pia uko kwa ndoa mradi Watoto wakuwe!? Kama ndiyo hivyo nakushauri utoke haraka kwenye hiyo ndoa ya kulea Watoto tu!!Mara nyingi haiwi hivi, wengi wako kwenye ndoa mradi watoto wakue.
Sema miezi kumi ya ndoa sio miaka
Achane kukariri maisha bhana.Kwani unaishi nae au umekaa hapo kwako kwenye kiti unaamua kuandika unachokiamini ili kumkatisha tamaa jamaa mwenye uzi.Kueni na sikio la usikivu!!!!Sema miezi kumi ya ndoa sio miaka
Hamna ndoa ya hivyo bana we😅 ingekuwa hivyo kelele zisingefika mtandaoni humu! Ndoa kongwe zote zinapumulia mashineAchane kukariri maisha bhana.Kwani unaishi nae au umekaa hapo kwako kwenye kiti unaamua kuandika unachokiamini ili kumkatisha tamaa jamaa mwenye uzi.Kueni na sikio la usikivu!!!!
😂😂😂😂😂😂😂😂 ni swala la muda tuMwaka 2024 tukiwa hai inshallah uzi utasomeka "mwanamke amebadilika baada ya miaka miwili ya ndoa je nifanyaje"