Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,111
- 28,020
Ndiyo maana yake, kwenye ndoa usifanye ujuaji, kina mjeda aliambiwa huyo dada humuwezi kasema yeye mjeda kilichompata kidogo watoane roho, ile ndoa zamani sana haipo sahizi kila mtu anamwenzie mpya na walikuwa na watoto 3/4 hiviHahahahahah kakosea kuoa sio