Ndio mkuu, alifanya na wenyeviti wa ccm wa mikoa kipindi ikulu ipo magogoni alivyoulizwa kwanini anafanyia vikao ikulu vya kichama akajibu ikulu ni mali ya watanzania hata cdm wakitaka nao waje kufanya atawapa ukumbiKwani naye aliendesha vikao vya CCM ikulu?
Unataka iongozwe kutokea ufipa? Kubali kataa CCM itatawala mileleNchi inaoongozwa kutoka msoga.Jumong the hopeless president!
View attachment 1813447
Hao uliowataja ni wachache, Magufuli aliua wengi sana zaidi ya hapo tena kwa muda mfupi
Magufuli aliua wengi? Wangapi? Waorodheshe hapa na uambatanishe na ushahidi.
Kwa hiyo wakati wa Magufuli haukuwa unakula mboga?Hela ya mboga ilikuwepo enzi za JK, makundi mbalimbali yalinufaika, enzi za Magufuli wamenufaika wachache tu
We si umesema walitaka kumlawiti mama yako?Mama yako analo hilo jibu, kamuulize atakujibu
Nakwenda zimbabweSijui.
Nieleze.
Nimekuuliza ikiwa unayosema ni sahihi kwa nini mlienda kumshtaki Kikwete ICC?Hao uliowataja ni wachache, Magufuli aliua wengi sana zaidi ya hapo tena kwa muda mfupi
Hela ya mboga ilikuwepo enzi za JK, makundi mbalimbali yalinufaika, enzi za Magufuli wamenufaika wachache tu
Kwa hiyo Magufuli alipoongoza vikao vya CCM ikulu mimi sikumpinga?Ndio mkuu, alifanya na wenyeviti wa ccm wa mikoa kipindi ikulu ipo magogoni alivyoulizwa kwanini anafanyia vikao ikulu vya kichama akajibu ikulu ni mali ya watanzania hata cdm wakitaka nao waje kufanya atawapa ukumbi
Nenda.Nakwenda zimbabwe
Nimesema wapi? Quote hiyo post hapa nilichosema hiyo kauliWe si umesema walitaka kumlawiti mama yako?
Ama?
Itatawala milele kwani imekuwa Mungu?Kwa nini MATAGA hamna akili za kureason?Yaani huwa mnaandika na kuongea kama vichwa vya wendawazimu!Unataka iongozwe kutokea ufipa? Kubali kataa CCM itatawala milele
Mtu mjinga siku zote akisemwa, hujishuku eti Kwa kuwa yeye ni kabila Fulani!Mnachukia huyu mama kwa sabab sio kabila lenu...
Acha afanye anavyotaka yeye ndio mwenye nchi kwa sasa, kama mlivomtetea Jamaa enu Meko Mwendazake
Kwahiyo hawakumlawiti mama yako?Nimesema wapi? Quote hiyo post hapa nilichosema hiyo kauli
Ukweli mchungu umeze Kama ilivyo.Itatawala milele kwani imekuwa Mungu?Kwa nini MATAGA hamna akili za kureason?Yaani huwa mnaandika na kuongea kama vichwa vya wendawazimu!
Kinachosababisha yote haya ni katiba yetu mbovu imewajengea kiburi viongozi wetu hadi kujiona miungu watu! Wanajua hawawezi kufanywa cho chote wakiwa madarakani na hata baada ya kustaafu.View attachment 1813436
Moja kati ya matamanio yangu ya muda mrefu sasa ni kuona vikao vya CCM kufanyika Ikulu vikikoma kabisa.
Sina uhakika sana huu mtindo ulianza lini lakini nakumbuka kipindi cha utawala wa Rais Kikwete, ulishamiri sana.
Ikulu ni mahali pa shughuli za kiserikali. Siyo mahala pa shughuli za chama cha kisiasa.
Itapendeza endapo huyu Rais wetu mpya hataendelea na huo mtindo.
Akiuendeleza, tutamkosoa tu. Haogopwi mtu. Hapendwi mtu.
Tanzania kwanza.
Kwani na yeye aliendesha vikao vya CCM Ikulu?Oh, halafu nawasubiri wale mtaosema kwa nini hatukuhoji kipindi Magufuli anaendesha vikao vya CCM Ikulu….nawasubiri kwa hamu kubwa sana!
Umeona mahali nimemuita mama, mlimpenda Maguful kwa kabila lake saivi drink your dose mr.Hakuna mtu anayemchukia , kama Maghufuli alipigwa supana huyu ni nani asipigwe anapoenda against , et mama , mama , we ni mama ako mzazi Mzee .......
Mlianza nyie sisi tunamaliza tuKwa akili kama hizi bado tuna safari ndefu sana.
SijuiKwani na yeye aliendesha vikao vya CCM Ikulu?