Vikao vya CCM Ikulu vinakera

Vikao vya CCM Ikulu vinakera

Kwani naye aliendesha vikao vya CCM ikulu?
Ndio mkuu, alifanya na wenyeviti wa ccm wa mikoa kipindi ikulu ipo magogoni alivyoulizwa kwanini anafanyia vikao ikulu vya kichama akajibu ikulu ni mali ya watanzania hata cdm wakitaka nao waje kufanya atawapa ukumbi
 
Hao uliowataja ni wachache, Magufuli aliua wengi sana zaidi ya hapo tena kwa muda mfupi

Hela ya mboga ilikuwepo enzi za JK, makundi mbalimbali yalinufaika, enzi za Magufuli wamenufaika wachache tu
Nimekuuliza ikiwa unayosema ni sahihi kwa nini mlienda kumshtaki Kikwete ICC?
Tafuta comment yako kwenye hii post chini
 
Ndio mkuu, alifanya na wenyeviti wa ccm wa mikoa kipindi ikulu ipo magogoni alivyoulizwa kwanini anafanyia vikao ikulu vya kichama akajibu ikulu ni mali ya watanzania hata cdm wakitaka nao waje kufanya atawapa ukumbi
Kwa hiyo Magufuli alipoongoza vikao vya CCM ikulu mimi sikumpinga?
 
Unataka iongozwe kutokea ufipa? Kubali kataa CCM itatawala milele
Itatawala milele kwani imekuwa Mungu?Kwa nini MATAGA hamna akili za kureason?Yaani huwa mnaandika na kuongea kama vichwa vya wendawazimu!
 
Mnachukia huyu mama kwa sabab sio kabila lenu...
Acha afanye anavyotaka yeye ndio mwenye nchi kwa sasa, kama mlivomtetea Jamaa enu Meko Mwendazake
Mtu mjinga siku zote akisemwa, hujishuku eti Kwa kuwa yeye ni kabila Fulani!

Pumbavu wewe, Nani kakwambia nchi hii bado tunabaguana kikabila??
 
Itatawala milele kwani imekuwa Mungu?Kwa nini MATAGA hamna akili za kureason?Yaani huwa mnaandika na kuongea kama vichwa vya wendawazimu!
Ukweli mchungu umeze Kama ilivyo.
Akitoka huyu mama tunawaletea mwingine, mpaka hiyo saccos yenu ife
 
View attachment 1813436

Moja kati ya matamanio yangu ya muda mrefu sasa ni kuona vikao vya CCM kufanyika Ikulu vikikoma kabisa.

Sina uhakika sana huu mtindo ulianza lini lakini nakumbuka kipindi cha utawala wa Rais Kikwete, ulishamiri sana.

Ikulu ni mahali pa shughuli za kiserikali. Siyo mahala pa shughuli za chama cha kisiasa.

Itapendeza endapo huyu Rais wetu mpya hataendelea na huo mtindo.

Akiuendeleza, tutamkosoa tu. Haogopwi mtu. Hapendwi mtu.

Tanzania kwanza.
Kinachosababisha yote haya ni katiba yetu mbovu imewajengea kiburi viongozi wetu hadi kujiona miungu watu! Wanajua hawawezi kufanywa cho chote wakiwa madarakani na hata baada ya kustaafu.
 
Samia Rais wetu...ww ni mtu mwema sana..hawa walio kwenye denial state wala wasikupe taabu na wasikupangie...watanzania 99.9% tunakupenda
 
Oh, halafu nawasubiri wale mtaosema kwa nini hatukuhoji kipindi Magufuli anaendesha vikao vya CCM Ikulu….nawasubiri kwa hamu kubwa sana!
Kwani na yeye aliendesha vikao vya CCM Ikulu?
 
Hakuna mtu anayemchukia , kama Maghufuli alipigwa supana huyu ni nani asipigwe anapoenda against , et mama , mama , we ni mama ako mzazi Mzee .......
Umeona mahali nimemuita mama, mlimpenda Maguful kwa kabila lake saivi drink your dose mr.
 
Back
Top Bottom