Vikao vya CCM Ikulu vinakera

Vikao vya CCM Ikulu vinakera

Oh, halafu nawasubiri wale mtaosema kwa nini hatukuhoji kipindi Magufuli anaendesha vikao vya CCM Ikulu….nawasubiri kwa hamu kubwa sana!
Ngoja tuwasubirie mkuu!
Kweli vikao vifanyikie Lumumba na Dodoma.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Haogopwi mtu. Hapendwi mtu.
Kisa mwanamke humwogopi? Huyo mungu wako uliempenda mbona kafa? Acha chuki kijana,unajidai unakosoa kisa mtawala sio mungu wako tena bali ni rais wa Tanzania. Ushachelewa kama kukosoa umekuja wakati mbaya sabab huna cha kukosoa.
 
Afanye tu kikubwa tuwe na Amani, Hamna kutekana, kuuana, kupigana risasi, kupotezana kama enzi za Magufuli.

Enzi za JK tulikuwa na Amani, hela ilikuwepo hatukuwahi kusikia vyuma vimekaza hata kama alifanya hayo usiyoyataka.

Mama pia achia hela kitaa wewe uendelee na mambo yako
Nafikiri enzi ya JK ulikuwa bado uko chekechea ndiyo maana hujui kuwa kuna Dr. Ulimboka aliokotwa Mabwepande! Hata awamu hii ukileta cha kuleta utaokotwa tu mkuu!!
 
View attachment 1813436

Moja kati ya matamanio yangu ya muda mrefu sasa ni kuona vikao vya CCM kufanyika Ikulu vikikoma kabisa.

Sina uhakika sana huu mtindo ulianza lini lakini nakumbuka kipindi cha utawala wa Rais Kikwete, ulishamiri sana.

Ikulu ni mahali pa shughuli za kiserikali. Siyo mahala pa shughuli za chama cha kisiasa.

Itapendeza endapo huyu Rais wetu mpya hataendelea na huo mtindo.

Akiuendeleza, tutamkosoa tu. Haogopwi mtu. Hapendwi mtu.

Tanzania kwanza.
Ili ungelisema kipindi kile cha dikteta magufuli
 
Nafikiri enzi ya JK ulikuwa bado uko chekechea ndiyo maana hujui kuwa kuna Dr. Ulimboka aliokotwa Mabwepande! Hata awamu hii ukileta cha kuleta utaokotwa tu mkuu!!
Uho uharamia alikuwa anaufanya dikteta kichaa,mama hawezi kufanya uho ujinga,mtu akivunja sheria atashughulikiwa kwa mujibu wa sheria za nchi, sio kutekana na kuwekana kwenye viroba
 
Uho uharamia alikuwa anaufanya dikteta kichaa,mama hawezi kufanya uho ujinga,mtu akivunja sheria atashughulikiwa kwa mujibu wa sheria za nchi, sio kutekana na kuwekana kwenye viroba
Tuliza tako ili sindano ikuingie vizuri mkuu!
 
Hili ni dogo sana ukilinganisha na uteuzi wa katibu mkuu wa CCM kuteuliwa na jiwe kuwa katibu mkuu Kiongozi.
View attachment 1813436

Moja kati ya matamanio yangu ya muda mrefu sasa ni kuona vikao vya CCM kufanyika Ikulu vikikoma kabisa.

Sina uhakika sana huu mtindo ulianza lini lakini nakumbuka kipindi cha utawala wa Rais Kikwete, ulishamiri sana.

Ikulu ni mahali pa shughuli za kiserikali. Siyo mahala pa shughuli za chama cha kisiasa.

Itapendeza endapo huyu Rais wetu mpya hataendelea na huo mtindo.

Akiuendeleza, tutamkosoa tu. Haogopwi mtu. Hapendwi mtu.

Tanzania kwanza.
 
Kwa hiyo unasema kuwa wakati Rais Magufuli anaendesha vikao vya CCM ikulu mimi nilimuunga mkono? Ndiyo au hapana?
Ulikaa kimya hukulipinga.ukiwa silent kipindi cha oppression unakua upande wa oppresser.we ni miongoni mwa watu wengi mliochotwa akili na mwendazake na akawa anatembea nazo mfukoni,leo hii yupo nazo udongoni sasa ndo unakuja hapa kupiga piga kelele.

The bad news is that mwendazake is gone and the good news is that he won't lead us again.

Acha ukabila na vitisho,aya tuna kuuliza why hukulisema hili kipindi cha mtukufu jiwe??
 
Afanye tu kikubwa tuwe na Amani, Hamna kutekana, kuuana, kupigana risasi, kupotezana kama enzi za Magufuli.

Enzi za JK tulikuwa na Amani, hela ilikuwepo hatukuwahi kusikia vyuma vimekaza hata kama alifanya hayo usiyoyataka.

Mama pia achia hela kitaa wewe uendelee na mambo yako
Yaani mtu anateka watu halafu mkosoaji anakaa kimya halafu ukosoaji unakuja eti vikao vya CCM.

Sasa suala la vikao vya CCM huko Ikulu vinasaidia vipi kuboresha maisha ya watu.

Yale yale ya Mwanakijiji na Dubwana lake la bibi na bwana.

Sometimes tunajishughulisha sana na vitu visivyo na maana yoyote.
 
Ni bora ufunge bakuli lako maana nakujua kama nimekuzaa yaani

Wewe nyaningabu ulikua mnufaika wa utawala wa mwendazake

Wewe na wenzio 49 kutoka kanda ya ziwa kutoka kabila lenu mlipewaga favor na serikali ya mwendazake hadi ukaja nchini kwa kuchaguliwa katika mpango wa siri wa kuwachomeka wasukuma 50 katika sekta nyeti na wewe jamaa kituo chako kilikua ni ifakara bora afunge bakuli lako tu tunajua kila kitu najua mnapambana ili mumuangushe mama samia ili mpachike mtu wa kabila lenu

Hii ni tz ya makabila 120 huo usukuma gang wenu ukafie chato
Oh, halafu nawasubiri wale mtaosema kwa nini hatukuhoji kipindi Magufuli anaendesha vikao vya CCM Ikulu….nawasubiri kwa hamu kubwa sana!
 
Back
Top Bottom