mlipoanzisha uvamiz hamkujua kuw mtakula za uso , vumilien kipigo nsitake wengine waje saidia kupata maumivNaona mgalatia wa Kimara hataki kuamini…
As forças sionistas atacam brutalmente os judeus ortodoxos nas ruas de Jerusalém | Funchal Notícias | Notícias da Madeira - Informação de todos para todos! | Notícias da Madeira e do Porto Santo
AF! As forças sionistas atacam brutalmente os judeus ortodoxos nas ruas de Jerusalém por se oporem ao genocídio em Gaza. Não vejo este tipo de violência estatal contra os judeus desde a Alemanha na…www.google.com
sisi wakristo ukiwa mpuuz huna nafas miongon mwetu tunakuelimisha ukikomaza shingo tunakutema sio kama nyie mnatetea ugaidi kisa dini mojaHahaha wanapigwa Wakisto wenzako huko.
sijaona jamaa akisema yeye ni mlokoleUlokole ni ugonjwa wa akili na ndio maana mnaamini eti chumvi ya upako wa mwamposa inaweza kukufanya ukawa tajiri bila kufanya kazi.
Sasa unajipendeka kwa wayahudi hali ya kuwa hamna mahusiano yeyote ya kiimani? Basi nenda wakuoe.
waislam mnatafuta huruma kwa kila jamii ss hv , mnavyotichinja mnaona ni sw ila tuumie kisa kitu chenye uhusiano na kanisa kimebomolewaIsrael destroys objects associated with Christianity in Gaza
The IDF not only bombs mosques, but also damages churches and other Christian institutions in the enclave. Thus, on November 1, Israel bombed an Orthodox cultural center in the Tel el-Hawa area in the Gaza Strip.
The consequences of the attacks were shown by military correspondent Said Sverki - the Orthodox center turned into ruins.
the gaidi linaendelea simamia shudu zakoUjinga pia ni ugonjwa wahi haraka hospili ukatibiwe pole sana
Ukiangalia dunia nzima inataka haki kwa wapalestina including orthodox jews ila settlers wanatumia propaganda za biblia kuiba na kuleta siasa za kizayuni kandamizi kwa palestina , wakristo hasa wa tanzania wamekuwa wakisupport kil ujinga na ushenzi wa israel ila wazungu na orthodox jews wamekuwa wakililia haki kwa wapalestina , mfano orthodox jews wamekuwa wakiishi kwa upendo na wapalestina kabla ya siasa za kizayuni kuanza ndio maana hadi leo hawataki kumsikia netanyahu, hawa settlers walimuua hadi waziri mkuu wao kisa alikuwa anataka amani na wapalestina, wakristo watanzania wamekuwa brainwashed nalo ni tatizo la elimu they cant reasonkwann mnaleta udini sana kwenye mambo ya kisiasa
Mm muislam kutoka bara la giza ukiniuliza kwa nn najipendekeza kwa mwarabu nina hoja za kijetetea kwa kusema mm na waarabu ni ndugu zangu kwa sababu tunashea katika mambo mengi kuanzia ,dini, utaifa maana kuna wtz wenzangu ambao ni waarabu, tumeshea damu kwa sababu kuna waraabu kibao wameoa na kuolewa na watz wenzangu.Sasa mimi kutoka Bara la giza kumbe naweza jibizana na wewe pure mwarabu wa Oman au Yemen?
Ndio akili yako ilipoishia siyo kosa lako acha watu wenye akili duniani wataendelea kupambania haki , nyie wa taifa teule tunazijua akili zenu kama kondoo wa mwamposa tumlipoanzisha uvamiz hamkujua kuw mtakula za uso , vumilien kipigo nsitake wengine waje saidia kupata maumiv
Ni wakristu kanisa la Putin hilo Orthodox Google utamuona Yesu na Maria,Orthodox
Mrokole anajulikana tu hata ww ni mrokole.sijaona jamaa akisema yeye ni mlokole
🚨JUST IN: HEZBOLLAH RELEASES FINAL TEASER BEFORE TOMORROW'S HIGHLY ANTICIPATED SPEECH ON WHETHER THEY WILL JOIN THE WARwaislam mnatafuta huruma kwa kila jamii ss hv , mnavyotichinja mnaona ni sw ila tuumie kisa kitu chenye uhusiano na kanisa kimebomolewa
Muonyeshe anayebisha.Ni wakristu kanisa la Putin hilo Orthodox Google utamuona Yesu na Maria,View attachment 2801663
Zoom uone
Nafahamu orthodox Christians wapo russia , Ukraine , Greece , Romania , Bulgaria , Cyprus , na zamani walikuwa ni dini kuu Turkey .Ni wakristu kanisa la Putin hilo Orthodox Google utamuona Yesu na Maria,View attachment 2801663
Zoom uone
Unatufunga kamba mzee baba, mbona huwa tunaona masheikh kwenye shughuli za kiserikali wanaomba dua kwa kiswahili? Au unataka kusema wewe unamjua sana huyo Mungu wa waarabu kuliko hao masheikh?Dini zote zililetwa.
Allah ni mungu wa kiarabu na anasikia lugha moja tu ya kiarabu.
Wewe ngozi nyeusi unayejifananisha na mwaarabu, bila kutumia lugha ya mwaarabu hakusikii. Hata bila kuvaa nguo za waarabo allah hakutaki.
Orthodox jews wanatambua Palestina walikuepo Palestina hata kabla ya Zionist kuja Hapo, Wana Siasa zao kali nazo ila linapokuja state ya Israel huwa wanakua against nayo sababu inachafua Imani ya Kiyahudi. Wayahudi hawali Nguruwe, hawakubali Ushoga, hairuhusiwi kumfukuza mtu nyumba yake aliojenga etc, Kifupi wapo against Settlers wa Israel Na mambo yao.
[emoji23][emoji23][emoji23] doh! Nimefurahi jinsi ulivyotilia mkazo udugu wako naWaarabu.Mm muislam kutoka bara la giza ukiniuliza kwa nn najipendekeza kwa mwarabu nina hoja za kijetetea kwa kusema mm na waarabu ni ndugu zangu kwa sababu tunashea katika mambo mengi kuanzia ,dini, utaifa maana kuna wtz wenzangu ambao ni waarabu, tumeshea damu kwa sababu kuna waraabu kibao wameoa na kuolewa na watz wenzangu.
Sasa ww niambie ni kipi mnacho shea na myahudi kuanzia dini, kijamii,kitaifa mpaka mnajipendekeza kwao kiasi hicho ,tena kwenye suala la mahusiano ni mwiko kwa myahudi kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mtu mweusi.
Ni kuelimishe tu kuwa ww pamoja na ugaratia wako lakini una mambo mengi ya kukuunganisha na muarabu ,hali yakuwa hakuna hata kitu kimoja kinacho kuunganisha ww na myahudi, kuna malilioni ya waarabu ambao ni wakristo na watz wenzio, hali ya kuwa hakuna myahudi hata mmoja ambaye ni mrokole mwenzio.
Haya na ww tilia mkazo undugu wako na Wayahudi tukuone jeuri yako?[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2].[emoji23][emoji23][emoji23] doh! Nimefurahi jinsi ulivyotilia mkazo udugu wako naWaarabu.
Ulokole ni ugonjwa wa akili na ndio maana mnaamini eti chumvi ya upako wa mwamposa inaweza kukufanya ukawa tajiri bila kufanya kazi.
Sasa unajipendeka kwa wayahudi hali ya kuwa hamna mahusiano yeyote ya kiimani? Basi nenda wakuoe.