Mm muislam kutoka bara la giza ukiniuliza kwa nn najipendekeza kwa mwarabu nina hoja za kijetetea kwa kusema mm na waarabu ni ndugu zangu kwa sababu tunashea katika mambo mengi kuanzia ,dini, utaifa maana kuna wtz wenzangu ambao ni waarabu, tumeshea damu kwa sababu kuna waraabu kibao wameoa na kuolewa na watz wenzangu.
Sasa ww niambie ni kipi mnacho shea na myahudi kuanzia dini, kijamii,kitaifa mpaka mnajipendekeza kwao kiasi hicho ,tena kwenye suala la mahusiano ni mwiko kwa myahudi kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mtu mweusi.
Ni kuelimishe tu kuwa ww pamoja na ugaratia wako lakini una mambo mengi ya kukuunganisha na muarabu ,hali yakuwa hakuna hata kitu kimoja kinacho kuunganisha ww na myahudi, kuna malilioni ya waarabu ambao ni wakristo na watz wenzio, hali ya kuwa hakuna myahudi hata mmoja ambaye ni mrokole mwenzio.