Vikosi vya waasi vyakomboa miji mitatu mikubwa kutoka utawala wa Taliban

Marekani anawahofia sana ISIS kuliko mataliban,Hawa ISIS ndo walimuua kiongozi wa boko haramu-wana siasa kali mno,wakiachwa wanaweza kuwang'oa taliban
kiongozi gani wa boko haramu unamzungumzia abboubakhari shekau au?
 
hata mimi hii kitu imenichekesha sana yani serikali iliyokuwa madarakani inafaidi kila aina utamu wa madaraka eti ndio imeingia porini tena kama waasi
Huu ni mchezo wa mebeberu, hivi inamaana serikali ya afghanistan haikuwa hata na vifaru?!!
 
Nilikuwa katika mshangao mkubwa, Marekani anaondoka! Nilijua tu atakuwa ameandaa vikundi vitakavyoleta usumbufu huko.
 
Ndo maana narudia tena-Kuna vitu vingi sana bado huvifahamu kwenye hzo issues ambazo umezitaja.Uwezo wa ku-sustain War hauangaliwi upande mmoja kama wewe ulivyobase.Nitaongelea kwa uchache kwa mfano,
For instance, Iran Quds Commander,General Qasem Soleiman aliuawa na US kwa kushirikiana na Mossad ya Israel ambao walikuwa wanashirikiana na CIA kuweza kupata real time information na kuweza ku-execute plan yao.
Kila nchi ina haki ya ku-act alone pale inapoona usalama wa nchi yake upo threatened.Example-Israel imeshasema ipo radhi kuingia vitani na Iran ili kuwazuia kumiliki nucleur weapons,Swali ni Je,Israel ina hiyo prowess ya kupambana alone na Iran in terms of financial and military power ?the answer is no,kama jibu ni hapana-kwann wanataka kuishambulia Iran wakati wanajua hawawezi?-Unakuja kukuta Israel iko cover na Mutual defence treaty agreement na US ambayo Israel anajua fika kutokana na Bipartisan support ya Israel kwenye US congress,US naye atakuwa dragged kwenye vita aliyoianzisha Israel bila kupenda. The treat says-Israel ikishambuliwa na taifa lingine automatically watakuwa wame-invoke hiyo mutually defence treaty.Israel kabla ya kuishambulia Iran lazima aangalie political will ya US kwanza manake kuishambulia Iraq unprovoked inaweza kuwa nje ya scope ya hyo treaty.
 
Uko sahihi Mkuu,
Hapo ni USA vs China & Russia.
Kuna cha kujifunza hapa.
 
Mzungu anakutambua wewe ni sokwe mkuu,,au hujui hilo mkuu, endelea tu kuwashobokea ipo siku watakulambisha matapishi yao.


Wanapropaganda hao, VOA na BBC wale wale,,,news zao co za kuamini.
Alafu unajiona una akili huku unatumia Internet,hardware,software etc. za mzungu kuingia Jf,What a shame-Ni watu pekee wenye akili za kimwendazake mwendazake wanaweza kuwaza kama ww.
 
Mzungu anakutambua wewe ni sokwe mkuu,,au hujui hilo mkuu, endelea tu kuwashobokea ipo siku watakulambisha matapishi yao.


Wanapropaganda hao, VOA na BBC wale wale,,,news zao co za kuamini.
Ungetumia neno "mzungu anatutambua sisi ni masokwe",maana hata wewe umo kwenye hili kundi letu la masokwe,tena wewe ndio mzee mwenye busara wa ukoo wetu wa masokwe
 
Ungetumia neno "mzungu anatutambua sisi ni masokwe",maana hata wewe umo kwenye hili kundi letu la masokwe,tena wewe ndio mzee mwenye busara wa ukoo wetu wa masokwe
Jamaa ana akili fupi sana ya kuwazua mambo,yaani anajielezwa yeye mwenyewe kupitia mwengine alafu anajiona tofauti. Ni sawa na kusema A=B=C alafu unasema A is not equal to C 🤣 🤣
 
Jamaa ana akili fupi sana ya kuwazua mambo,yaani anajielezwa yeye mwenyewe kupitia mwengine alafu anajiona tofauti. Ni sawa na kusema A=B=C alafu unasema A is not equal to C 🤣 🤣
Nahisi litakuwa ni sokwe halisi sema lina akili kidogo ya kibinadamu na,linamiliki smartphone,wanalisaidia kuunga bundle na kuliongoza kuingia JF.
 
Alafu unajiona una akili huku unatumia Internet,hardware,software etc. za mzungu kuingia Jf,What a shame-Ni watu pekee wenye akili za kimwendazake mwendazake wanaweza kuwaza kama ww.

Kwa sababu natumia vitu vyao ndio niwe upande wao, huu utakuwa unyambafu haswaa!!! Hii akili ya wapi mzee!!!!! Mzungu aliwateka akili black skin, others wanajitambua
 
Kwa sababu natumia vitu vyao ndio niwe upande wao, huu utakuwa unyambafu haswaa!!! Hii akili ya wapi mzee!!!!! Mzungu aliwateka akili black skin, others wanajitambua
Argument yako inaonyesha una akili za kitotototo,Na ku-argue na mtoto ni ........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…