Umenena Mkuu.Kwa wakenya wana haki ya kujiona hivyo, kwani ni mambo mengi wanafanya kama wazungu(AKILI KUBWAZ)ambayo kwa wafrika wengi hatuyawezi!!ndio maana hata rais wao anakuwa simple tu kwa wananchi wake, tofauti na nchi zote za kiafrika!!mwananchi yupo huru kuikosoa serikali , kwani anajua katiba ina mlinda, na mahakama ipo huru.ki ukweli KENYA ipo level nyingine kabisa na mi nchi yote ya kiafrika.Na hicho ndicho kinapelekea TZ, kuwaogopa sana kwenye EAC, japo uoga huo hauwezi kutusaidia sana.
Only ifDr. Samia Suluhu ... Tanzania
Badala ya kuwaonea wivu, isimamie na wewe nchi yako ifanye maendeleo kama yaoKenya na Rwanda kuna saa wanajiona washakuwa wazungu...
Hizi nchi mbili na wananchi wao wamekuwa na dharau sana miaka ya hivi karibuni.. Ndo wanasababisha EAC inakuwa na mambo ya ajabu ajabu.
Dr. Samia Suluhu ... Tanzania
Sponsor kaanguka bobu, ndomaan wanaenda mzungu mzungu tuKenya na Rwanda kuna saa wanajiona washakuwa wazungu...
Hizi nchi mbili na wananchi wao wamekuwa na dharau sana miaka ya hivi karibuni.. Ndo wanasababisha EAC inakuwa na mambo ya ajabu ajabu.
Watakula na plate za msosi pia.Watabeba jemeza au watakaohudhuria mazishi yake?
Hivi hawa wa Ulaya ni nani alikuja wakati wa kifo cha JPM na Mkapa?1. Joe Biden - Rais wa Marekani,
2. Emmanuel Macron - Rais wa Ufaransa,
3. Dr William Ruto (PhD) - Rais wa Kenya,
4. Paul Kagame - Rais wa Rwanda,
5. Olaf Scholf - Chansela wa Ujerumani,
6. Paul Biya - Rais wa Cameroon,
7. Patrice Talon - Rais wa Benin,
8. Mohamed Bazoum - Rais wa Niger,
9. Muhammadu Buhari - Rais wa Nigeria,
10. Lazarus Chakwera - Rais wa Malawi,
11. Fillipe Nyusi - Rais wa Msumbiji,
Ali Bongo....Omar Bongo wa Gabon,Yoweri Mseven.....
Ali Bongo....Omar Bongo wa Gabon,Yoweri Mseven.....
Ali Bongo..Omar Bongo wa Gabon,Yoweri Mseven.....
Misiba ya wenzetu, tena siyo tu viongozi wa nchi au watu maarufu huwa mtu huendi tu eti kwa sababu ni msiba kama huku kwetu ukisikia kuna msiba mahali unaenda. Wenzetu kama hujaalikwa kwenye msiba huendi!!! Sasa huo wa viongozi wa juu ndiyo kabisaaa!!! Hujaalikwa hakuna kwenda.Hivi hawa wa Ulaya ni nani alikuja wakati wa kifo cha JPM na Mkapa?
Dah!🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.Dr. Samia Suluhu ... Tanzania
Dokta tenaDr. Samia Suluhu ... Tanzania
DuhEnzi za Professor Jalalani mida hii angekua London anatoa historia ya Malkia mwaka alfu moja *Mia kenda sitaini na moja.
Namuona kazi maalum , Mzee wa jararani , le profesel, Aidani mwaluko.paramagamba kabudi, akitimiza wajibu wake.Dr. Samia Suluhu ... Tanzania
1. Joe Biden - Rais wa Marekani,
2. Emmanuel Macron - Rais wa Ufaransa,
3. Dr William Ruto (PhD) - Rais wa Kenya,
4. Paul Kagame - Rais wa Rwanda,
5. Olaf Scholf - Chansela wa Ujerumani,
6. Paul Biya - Rais wa Cameroon,
7. Patrice Talon - Rais wa Benin,
8. Mohamed Bazoum - Rais wa Niger,
9. Muhammadu Buhari - Rais wa Nigeria,
10. Lazarus Chakwera - Rais wa Malawi,
11. Fillipe Nyusi - Rais wa Msumbiji,
12. Haidhma bin Tariq - Sultan wa Oman,
13. Katibu Mwenezi,