Kenya na Rwanda kuna saa wanajiona washakuwa wazungu...
Hizi nchi mbili na wananchi wao wamekuwa na dharau sana miaka ya hivi karibuni.. Ndo wanasababisha EAC inakuwa na mambo ya ajabu ajabu.
Malkia Elizabeth ni wa dini gani?SSH ni mwanamke na muslim,sidhani kama atahudhuria mazishi!
Huenda akatuma mwakilishi,probably Mzee Kikwete! Au Rais wa SMZ.
Anyway ni mawazo yangu.
Wameigomea Tz ukiona hivyo wanajielewaKenya na Rwanda kuna saa wanajiona washakuwa wazungu...
Hizi nchi mbili na wananchi wao wamekuwa na dharau sana miaka ya hivi karibuni.. Ndo wanasababisha EAC inakuwa na mambo ya ajabu ajabu.
Kwani vipi mkuu?Kenya na Rwanda kuna saa wanajiona washakuwa wazungu...
Hizi nchi mbili na wananchi wao wamekuwa na dharau sana miaka ya hivi karibuni.. Ndo wanasababisha EAC inakuwa na mambo ya ajabu ajabu.
14: H. Polepole12 . Katibu Mkuu wa UN
13. Benjamin Natanyau
Hakumfanyi Magu kufufuka, magu ataendelea kuwa marehemu na mama atabaki kuwa prezda. Mataga na sukumagang huwa mnateseka sana na huyu mamaHangaya hajaalikwa kwa vile ni dikteta
Jp na mkapa ndo kina nani?Hivi hawa wa Ulaya ni nani alikuja wakati wa kifo cha JPM na Mkapa?
Hii orodha ni feki ikiwa mzee wa Msoga hayupo ktk list1. Joe Biden - Rais wa Marekani,
2. Emmanuel Macron - Rais wa Ufaransa,
3. Dr William Ruto (PhD) - Rais wa Kenya,
4. Paul Kagame - Rais wa Rwanda,
5. Olaf Scholf - Chansela wa Ujerumani,
6. Paul Biya - Rais wa Cameroon,
7. Patrice Talon - Rais wa Benin,
8. Mohamed Bazoum - Rais wa Niger,
9. Muhammadu Buhari - Rais wa Nigeria,
10. Lazarus Chakwera - Rais wa Malawi,
11. Fillipe Nyusi - Rais wa Msumbiji,
12. Haidhma bin Tariq - Sultan wa Oman,
13. Katibu Mwenezi,
Samia keshakuwa Dr?Dr. Samia Suluhu ... Tanzania
Inaonekana hivyo, lakini hauko hivyo.Rwanda anamsaidia kupunguza wakimbizi
Sikuwahi kuona watu wanaalikwa kuzikaKi vp?
Maana angealikwa mngemsiliba pia
Wabongo hamna jema,hamjuwi mnataka nini
Ova
Utajiri na umaarufu ni ubatili mtupu, matajiri na watu maarufu wanakufa kama anavyo kufa matonya na chakubanga, wote huyarudia mavumbi wakiwa hawana lolote.Kwa hiyo baada ya kifo chake, mwili wake umegeuka kuwa ni mzoga tu kama mizoga mingine.
Endelea kujifariji hapo Maji MatituUtajiri na umaarufu ni ubatili mtupu, matajiri na watu maarufu wanakufa kama anavyo kufa matonya na chakubanga, wote huyarudia mavumbi wakiwa hawana lolote.
Hahahahaha mkuu unamuongezea kuni πππππMagufuli ndio dikteta uchwara, Mungu amlaani huko alipo kuzimu.
Alishastaafu. Upo dunia gani?5.Kansela wa ujeruman ni Angela Machel
Angela Markel alishastaafu watanzania muwe ja tabia ya kuji update...Huyu ni Rais wa ujerumani. Angela Marker NDIYE chanselor wa ujerumami.