Viongozi wa dini waliokutana Rais Samia Wamemshauri kuifuta kesi ya Mbowe

Viongozi wa dini waliokutana Rais Samia Wamemshauri kuifuta kesi ya Mbowe

Hapo viongozi wa dini ni wawili tu nyingine ni TAKATAKA
Hawa ''viongozi wa dini'' wametumiwa kama daraja. Huu umekuwa ni utamaduni wa Tanzania. Wengi hapa ni wachumia tumbo tu na hawawezi kumueleza rais kiini hasa cha matatizo ya nchi yetu. Hilo la kusema elimu kufumuliwa ni kweli lakini hata ikifumuliwa bila mfumo mzima wa utawala kusukwa upya ni bure. Cha kuanza nacho ni mfumo wa utawala kwanza ndiyo mengine yafuatie.
 
Hawa ''viongozi wa dini'' wametumiwa kama daraja. Huu umekuwa ni utamaduni wa Tanzania. Wengi hapa ni wachumia tumbo tu na hawawezi kumueleza rais kiini hasa cha matatizo ya nchi yetu. Hilo la kusema elimu kufumuliwa ni kweli lakini hata ikifumuliwa bila mfumo mzima wa utawala kusukwa upya ni bure. Cha kuanza nacho ni mfumo wa utawala kwanza ndiyo mengine yafuatie.
Hakika, naamini hapo Bagonza na Dr Shoo hawakumumunya maneno...
 
Hawa Viongozi Macho Yao Wameiona Kesi moja tu Mahakamani? Mbona ipo mikesi mingi tu Wameifumbia Macho..!
Wajikite Kumtangaza Mungu , haya mambo Sijui futa Kesi Ya Sabaya ,Sijui futa Kesi Ya
Hivi ingekuwa mama yako ameshikishwa ukuta ungekuja na huu utopolo?
 
Huyo kiongozi wa dini aliye ongea hivyo either hajitambui au ameamua kumtega Mhe. Rais.

Kweli kabisa kesi iko Mahakamani halafu bila aibu anajitokeza kiongozi wa dini eti....Rais atumie busara amwachie huyu Gaidi Mbowe?!

Sasa na sisi wananchi tunasema tunataka afungwe ili iwe fundisho kwa wahalifu wengine.

Endapo Mbowe atasamehewa basi tufahamu kuwa tutakuwa tumeharibu kabisa utawala wa sheria nchini......kwa sasa ni Mbora Mbowe afungwe kama atapatikana na hatia kuliko kuachiwa huru.

huyo kiongozi wa dini aliye tamka neno hilo hana nia njema, ni mnafiki na mzandiki......aliye kosa aibu, apuuzwe....ni wazi kabisa katumwa na wafuasi wa Gaidi.

kila siku tunamuona Askofu Mwamakula akihudhuria kesi ya Mbowe mahakamani, ni wazi kabisa Askofu huyo ni mwanachama na Mshabiki wa mbowe, sasa amemtuma mwenzie atoe ombi kama hilo mbele ya Rais bila hata aibu!! huku akifahamu kabisa kesi ikiwa mahakamani hakuna wa kuiingilia mahakama lkn anamwambia Rais aingilie Mahakama!! huu ni ukosefu wa adabu na heshima mbele ya Rais.
hatutegemei kiongozi wa dini kwelikweli aongee jambo hilo bila aibu isipo kuwa ni mnafiki aliye bobea.
 
Huyo kiongozi wa dini aliye ongea hivyo either hajitambui au ameamua kumtega Mhe. Rais.

Kweli kabisa kesi iko Mahakamani halafu bila aibu anajitokeza kiongozi wa dini eti....Rais atumie busara amwachie huyu Gaidi Mbowe?!

Sasa na sisi wananchi tunasema tunataka afungwe ili iwe fundisho kwa wahalifu wengine.

Endapo Mbowe atasamehewa basi tufahamu kuwa tutakuwa tumeharibu kabisa utawala wa sheria nchini......kwa sasa ni Mbora Mbowe afungwe kama atapatikana na hatia kuliko kuachiwa huru.
Atakuwa shoo au bagonza,

Maana hao wanajulikana akili zao

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 

icon_rolleyes.gif
icon_rolleyes.gif

Pale ubongo unapofikiria ubwabwa tu. 24hrs
 
Yaani only wenye akili ndo wataelewa huu mchezo.
 
Huyo kiongozi wa dini aliye ongea hivyo either hajitambui au ameamua kumtega Mhe. Rais.

Kweli kabisa kesi iko Mahakamani halafu bila aibu anajitokeza kiongozi wa dini eti....Rais atumie busara amwachie huyu Gaidi Mbowe?!

Sasa na sisi wananchi tunasema tunataka afungwe ili iwe fundisho kwa wahalifu wengine.

Endapo Mbowe atasamehewa basi tufahamu kuwa tutakuwa tumeharibu kabisa utawala wa sheria nchini......kwa sasa ni Mbora Mbowe afungwe kama atapatikana na hatia kuliko kuachiwa huru.

huyo kiongozi wa dini aliye tamka neno hilo hana nia njema, ni mnafiki na mzandiki......aliye kosa aibu, apuuzwe....ni wazi kabisa katumwa na wafuasi wa Gaidi.
Wewe huwa na kwambia kanisani kwetu huwa unakuja kufanya ushirikina.Kanisa langu la SDA bora lingekufukuza.Imagine kanisa yupo mtu mshirikina kama wewe unayeweka tumaini la maisha yako LUMUMBA halafu una roho za uuaji Kuna ushirikina zaidi ya huu
 
Hivi ndivyo Mwananchi walivyoeleza kwenye tovuti yao jioni hii .

View attachment 2136460

=======

VIONGOZI WA DINI: BUSARA ITUMIKE KUMALIZA KESI YA MBOWE

Viongozi hao wameomba Mamlaka husika kutumia busara na kuangalia namna ya kumaliza kesi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe pamoja na wenzake

Wametoa rai hiyo leo Machi 2, 2022 walipokutana na Rais wa Tanzania, Samia Suhulu Hassan Ikulu Dar es Salaam. Katika Mkutano huo, Viongozi hao wa Dini mbalimbali pia wamependekeza kuwe na Mjadala mpana kuhusu Mfumo mpya wa Elimu utakaokidhi mahitaji ya sasa

View attachment 2136462
RAIS anafutaje kesi ya Mbowe stupid wahiiid!!
 
Kwamba Rais aingilie muhimili wa mahakama au sijaelewa vizuri?

Unaonesha kuwa ujinga ni kipaji! Nikukumbushe kuwa Mahakama sio huru kama unavotaka kujiaminisha! Rais huteua Jaji Mkuu, Msajiri Mkuu, majaji WOTE wa mahakama ya Rufaa na Kuu! Rais anaweza hata kumsamehe mfungwa anayatumikia kifungo kilichoamriwa na mahakama!

Swali: Je zile kesi za mashehe wa uamsho na 147 za uhujumu uchumi zilizofutwa wa maelekezo ya mahakama alikuwa ameingilia uhuru muhimili mwingine??

Ujinga wako uko hapa: Mahakama sio inayomshitaki Mbowe na wenzie na wengine wowote. Kesi huwa ni au za jamhuri au watu binafsi dhidi ya wengine na hupelekwa kwa third party - mahakama!! Uamuzi alioombwa kuchukua Rais sio wa kumwambia Jaji aseme Mbowe hajatenda kosa. Rais amwambie mteule wake mwingine DPP “kutoendelea na shauri”!!! Rais anaombwa achukue maamuzi ndani wa mhimili wake - DPP yuko katika mhimili wa serikali.

Nchi hii itasonga siku kiwango cha ufikiri kitakuwa bora kuliko chako!!!
 
Back
Top Bottom