Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 4,324
- 5,933
Nimefarijika kuliskia hili kutoka roma hao hawana mchezo wakikuamulia kiti cha urais utakiona kwa mbali ndani ya sekundeLeo ndio nimegundua hawa ni kanisa dola kwa kificho. Kwamba wamechunguza kuhusu Dp na wanayo nyaraka ya maandishi wataikabidhi serikali. Kasema wanayo nyaraka fake ambayo mwanasheria Hamza alipokuwa akitoa ufafanuzi akitumia ile quinine ni kama mambo yote ya feki na junioni yana fanana.
Kasema kwa akili kubwa hapa, maana yake ni hicho kinachoitwa feki sio feki bali kinakuwa feki kwa vile kimevujishwa hakikuwafikia watu kwa utaratibu.
Bakwata yenyewe ni tawi la RomaUnalijua kanisa la roma au una firika kichawa chawa tuu??
Yule aaliyeitwa shetani na Yesu?
Kifupi roma inatawala kila kitu either ni clean or dirtyBakwata yenyewe ni tawi la Roma
Serikali ndio imeweka tsh trillion 1 halafu inakodisha!Kama DP world wanaweka trillion 1 tu,kwa nini Serikali isingejifunga mkanda hizo itumie hayo mapato ya bandari ya mwaka 1 tu kurekebishia hayo madhaifu
Udini umekuondolea akili sana mkuu , kwamba mtu asipooa hana akili ,Azitiwe wapi? Mwenye akili atakaa bila kuoa miaka yote hiyo?
Slaa yalimshinda, muulize kwanini?
Huwezi kuelewa akili kubwa ya waliosoma philosophy miaka sabaIwe ni kanisa au msikiti au siasa, mtu akishasema "mkataba feki" halafu anaendelea kuunukuu kujenga hoja zake, huyo ni punguani wahed.
Kwa kuwa unesema huyo ni wa kanisani basi simshangai, wamezowea kuwalisha watu maandiko feki.
Wee mwanamke jiheshimu Angalia maslahi ya Taifa kuliko kitu chochote kile naweza kukupa m.100 leo ukanisifu Sana ila kama nimeharbu hatima ya wnao na wajukuu zako huko mbeleleni Basi ww utabaki mbumbu za hizo nilizo kupa zitaisha.Yule aaliyeitwa shetani na Yesu?
Hapepesi macho!Kitima ananyoosha rula
Aiseeh bora mseme nyinyi sisi tunaambiwa uelewa mdogoAskofu Benson Bagonza wa KKKT ameuliza swali kupitia Ukurasa wake twitani
Je Bandari Imekodishwa au Sisi ndio Tumekodi Waendeshaji?
Mlale unono!