Kwasababu zipi aikupaswa kushinda?Ukweli ni kuwa yanga haikupaswa kushinda mechi ya kengold kule mbeya wala mechi ya Simba.
Ni kwa vile wana mambo mengi nje ya uwanja.
Ni aibu kwa timu inayosemwa bora kushindwa kwenda robo fainali CAF.
Bakini na jitihada za kuiangusha Simba ili isishiriki Klabu bingwa maana mkishiriki wote mtaaibika tu
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Sawaatafungwa JKT Tanzania na shoga yake.period
Na kaambulia Point mojaHii mechi ni Ngumu mno.
Simba wameweka mzigo mzito yanga apigike.
Ngoja tusubiri dk 90.
Wacha weeee 🤣atafungwa JKT Tanzania na shoga yake.period
Warudi saa ngapi 🤣Erudi Tena hapa baada ya saa 12 jioni usije ukatokomea,,mmebaki kwenye mambo ya kishirikina badala ya uwezo na ubora
Ndo miujiza hiii hii au mingine apostle? 🤣Sioni JKT wakishinda..wamecheza juzi Arusha,wamesafiri zaidi ya km 800.. labda kwa miujiza
Hapa tunamalizia kula wali nyama choma na mbuzi tunashushia na k vant ...unateseka ukiwa wapi [emoji23][emoji23][emoji23]kula ushibe hatutaki kusikia kelele za lawama kwa GSM
Tuko hapa tunajipongeza na mbuzi choma...unaumia ukiwa wapi[emoji23]Saa 12 jioni utapata majibu yako. Inaitwa YANGA.
Majibu yamepatikanaSaa 12 jioni utapata majibu yako. Inaitwa YANGA.
Humu kumbe Kuna mataikoon heshima yako mkuu [emoji23][emoji23][emoji23]Hii mechi ni Ngumu mno.
Simba wameweka mzigo mzito yanga apigike.
Ngoja tusubiri dk 90.
Endeleeni hii ndio ubaya ubwelaaaaMpira unachezwa uwanjani, mambo mengine inje ya uwanja ni maigizo.
Majibu umeyapata?Saa 12 jioni utapata majibu yako. Inaitwa YANGA.
Ndio tunashangaa yanga hii inapata wapi ujeuri wa kufunga goli 6? Ndio maana leo nayo yamegongwa 2 huko mbeya, yalikula hela za utopoloTuko hapa tunajipongeza na mbuzi choma...unaumia ukiwa wapi[emoji23]
Kwamba mechi imeishaje mkuu?Kwamba JKT wana timu nzuri kuliko YANGA?
Kwamba yanga wana wachezaji wabovu na dhaifu kuliko jkt ?
Kwamba yanga ili wamfunge jkt lazima waloge?View attachment 3231701