Viongozi wa JKT Tanzania hakikisheni Yanga hawapiti mlango wowote zaidi ya ule mtakaopitia nyinyi, washaingia katika mfumo leo

Viongozi wa JKT Tanzania hakikisheni Yanga hawapiti mlango wowote zaidi ya ule mtakaopitia nyinyi, washaingia katika mfumo leo

Ukweli ni kuwa yanga haikupaswa kushinda mechi ya kengold kule mbeya wala mechi ya Simba.
Ni kwa vile wana mambo mengi nje ya uwanja.
Ni aibu kwa timu inayosemwa bora kushindwa kwenda robo fainali CAF.
Bakini na jitihada za kuiangusha Simba ili isishiriki Klabu bingwa maana mkishiriki wote mtaaibika tu

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Kwasababu zipi aikupaswa kushinda?
 
Dah kuanzia leo ntakua nakusoma na kukuamin mkuu..

Ubaya ubwelaaaa[emoji23][emoji23][emoji23]
 
kula ushibe hatutaki kusikia kelele za lawama kwa GSM
Hapa tunamalizia kula wali nyama choma na mbuzi tunashushia na k vant ...unateseka ukiwa wapi [emoji23][emoji23][emoji23]
Ubaya ubwela

Biya biya...
 
Back
Top Bottom