Viongozi wa Juu wa CHADEMA kuongea na Wanahabari Novemba 25, 2020 Makao Makuu ya Chama, Kinondoni

Viongozi wa Juu wa CHADEMA kuongea na Wanahabari Novemba 25, 2020 Makao Makuu ya Chama, Kinondoni

Hiyo ndiyo ofisi huogopwa na CCM mpaka kukesha kuwabambikia kesi kuwapiga risasi uonevu unyanyasaji uovu mateso yote na sasa wametumia mabilioni kuwanunua wabunge wa kike, Sasa jiulize je? Chadema wangekuwa na ghorofa 5 ingekuaje? Si mngekuwa mkiwachinja kama kuku?

Usiji vike ujinga na kujiaminisha na mambo ambayo hayapo.

Chadema kapanda kitandani nguo kutoa, uchi wa myama CCM inatongoza nini hapo?
 
Kimsingi huo mkutano haupo leo. Utahairishwa kwa sababu yoyote ile (inaweza singiziwa hata dola) ni mbinu tu ya kuwaadaa na kupunguza munkari ya wanachama.
 
Retired kwani mimi nakupenda??? Halafu wachana na kukupenda, mimi hata sijawahi kujua kama unaexist🤣🤣🤣
Hapo umedanganya, maana tupo humu wote JF. I am aware of your JF existence, but I have no "love" with you😀😀😀😀😀😀, nakutani mwaya, ndiyo mambo ya JF!
 
Back
Top Bottom