Nakumbuka nili-report form 6 nikakutana na jamaa hana uniform na alikaa km mwezi.
Badae akapewa suruali nyeusi na jamaa mmoja kutoka Arusha.
Mtaka yuko sahihi; pia kumpinga waziri alikua sahihi. Mtaka kwenye swala la elimu ndo mtu pekee sahihi anayewasemea wasio na sauti