Viongozi wa Tanzania, endeleeni kucheza kamari na mali zenu, ya Zelensky hayapo mbali

Watu mnamtetea Zelensky mnahoji mazungumzo tuliyoyaona pale mbelw au mnazungumzia issues nyingine??
Trump alibadirika baada ya Zelensky kutaka kuleta mada za Putin, jinsi alivyodictator, alitaka kumlisha maneno Trump.Trump kajibu mapigo kuwa hawako hapo kumjadili Putin whether na mbaya au mzuri - yeye anataka amani vita viishe - na hayuko aligned na mtu yoyote - yuko America first.
Zelensky hajaongea chochote kuhusu hayo madini mnayosema, kuhusu huo mkataba, hayasema anapendekeza nini na wao US wanataka nini, sasa huo ushujaa mnaompa ni upi??
Tofautisheni ubishi na ushujaa..The world is not fair, inahitajika hekima zaidi - hisia haziwezi saidia.
 
Na hawa waulaya wanaotusaidia soon watapa wivu kuona wao wanafirisika kwa sababu ya vita ya Ukraine ila USA anapata dili na kuneemeka, Russia anaondokewa vikwazo na USA na kuneemeka zaidi hivyo wataacha kutoa msaada na huenda EU kusambaratika hapo ndipo sisi rangi nyeusi titajua hatujuwahi kamikaka kuwa mtu halisi!
 
It is disrespectful kwa wamarekani as well . Kama watu watajitegemea wenyewe…. Huu upuuzi usingetokea. I don’t think Kama Trump anaweza kuongeq na Putin vile . Symposiums wana predict assassination ya Trump lol !

Vita ya Ukraine hata USA Ana benefit na ni provoker…… inanikumbusha snaa ya JFK na ishu ya Vietnam
 
Moja ya hoja ni hata Ulqyq kuna watu masikini badala yake …. Bajeti kubwa inakuwa alocated Africa na Tanzania, mbaya zaidi ngozi nyeusi inakula na kuiba hizo hela . Wananchi wa Ulaya hawapendi haya mambo kuona taifa lao linasaidia watu wasio kuwa na akili na wezi
 
5R
 
Nadhani huko Ukraine licha ya hali ngumu lakini wamekubaliana na Dunia kwamba Rais wao hakuwadhalilisha.
Hii imebaki kuwa heshima kubwa sana. Na Yule Supa pawa imeonekana kume anawezekana vizuri tu.
 
Kwa

Hahahahaha, mi nashangaa pale tunapoiona USA kama nchi zingine, HAPANA! USA ni dude jingine kabisa, NATO is nothing bila USA, na huenda viongozi wengine wa dunia hii ni CIA products.
 
Kwa



Hahahahaha, mi nashangaa pale tunapoiona USA kama nchi zingine, HAPANA! USA ni dude jingine kabisa, NATO is nothing bila USA, na huenda viongozi wengine wa dunia hii ni CIA products.
Hata hao Akina Macron sijui Zolensky na kina Putin wote ni USA strategy kubalance dunia.
Tunapigwa
 
Ni wakati wa kuambiana ukweli sasa na si wakutumia cheap politics ili kuwafurahisha watazamaji! Yani ni muda wa kupimwa unawezaje kujenga hoja na kuzitetea.... Tujiandae Watanzania.
 
Labda walijaribu kuonyesha Namna USA ya Biden ilivyotumia resources huko Ukraine isivyokuwa ikiwapendeza... Wakaamua kutapika nyongo mbele ya media...
 
We ni mjinga marekani ndo aliyemuingiza mkenge kwa kumshawishi ajiunge NATO ilihali ni kinyume na minisk agreement

Marekani ni mhusika mkubwa sana wa kuharibu aman ya ukraine
 
Lakini hata kule kuyaeweka haya mazungumzo live ni strategy ya Trump aonekane mwamba na kumdhalilisha Zelensky. Trump anajua kulumbana katika masuala ya pesa, hana diplomacy kabisa. Analazimisha Zelensky asaini mkataba kwa vitisho. Matokeo yake Ulaya imeungaba na ipo nyuma yake.
 

Hakuna cha fukuto la upinzani tulia wewe dawa iwaingie 🤣🤣🤣

Trump oyeeee
😂😂😂 Na kimsingi kwenye vita ya Ukraine,... USA amemsapoti Zelenksi kwa asilimia Kubwa... Na Kuna wakati aliendaga mwenyewe kwenye bunge la seneti kuomba sapoti ya USA ili aendelee kupambana na Putin.... Ndo maana Jana walikuwa wanamuinjoi kwenye interview... 😂😂
 
Kosa la Kwanza ni kuingia hiyo vita Kwa sababu Biden na PM WA UK walitaka kulitumia Ukraine kuidhofisha urusi.sasa mambo yamebadilika katika uwanja wa vita na wawekezaji
Vita vya ukraine vimeanza mwaka 2014 baada ya Rais wa ukraine victor kukimbizwa na waandamanaji wa ukraine na akakimbia russia ndo mwanzo wa mgogoro
 
Walikanusha ya Bagamoyo, yamewashinda wamerudi kukiri kwamba ni kweli.
Hawana akili, wazungu wasimamishe misaada hawa watu wajitegemee…. They are too lazy and thieves
 
, una akili ? Ainisha sehemu yenye udini
 
Hizi hoja na hitimisho ya jumla jumla hayatoweza kuondoa tatizo la wananchi wa tz.

Kwanza tuelewe tatizo la nchi si chama. Bali tatizo ni watendaji waandamizi na watumishi ktk kada zetu.

Na chanzo cha tatizo hilo wa watendaji wa serikali ni ubaguzi. Kumekuwa na tabala moja ya watendaji tokea uhuru.

Kuondoa tatizo hilo kuna haja kwa watz kuunganisha fikra na kupiga vila mfumo wa serikali kuu. Na tuiunge mkono chama kitachopigania kurejesha madaraka Katani kwa kuunda utawa wa serikali za kata zenye uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yake wenyewe. Na mamlaka ya juu kabisa iwe kanda. Kwa maana kama kanda ina mradi wa kimkakati kama makala ya mawe. Pesa ya pato hilo niishie kwenye kanda. Bali nafasi za uwakilishi wa kitaisha unawapwa kuishi kazi kuwa watayobaki nayo ni kusimami mfumo huu umpa unaratibiwa ktl kila kanda kwa ufanisi.

Maana ya serikali ya KATA zenye uhuru zaidi wa kujiamulia mambo Yao wenye ina maana pato na ushuru kodi zote linalokusanywa na tza makao makuu sasa zikusanywe na vingi wa kata ktk mfumo huu. Na matumizi yake wafanywe na viongozi na kata.


Nimechunguza na kubaini idadi ya mzunguko wa biashara unaofanya watosha kuwapikia watoto chakula mashuleni.wagonjwa mahospitalini. Kuwalipa mishahara madakta na wabaguzi


Fikiria kata yako yenye wakazi 5000. Iwapo kila bidhaa vinavyouzwa inakatwa 18%

Na nusu ya wakazi wawe ananunua bidhaa walau kwa 2,000 kwa siku. Hii ina maana kwa mwezi huku kukusanya sh 30mil.

Tutashindwaji kuleta ustawi kama nchi na kwa wananchi

Uzuri ni kwamba aina hii ya mfumo wa utawala unaotoa uhuru zaidi kwa kanda tuna mfano wa serikali ya znz.

1. Ukubwa wa unaoitwa mkoa kule znz ni sawa na eneo la mtaa huku Danganyika. Lkn kubwa zaidi rais wa nchi anakuwa hana mamlaka ya kuuza rasilimali za eneo lolote la nchi. Kama ilivyo kwasasa kwa rais wa JMT kutoweza kuuza rasilimilali yyt ya znz.

Na kwamba hizi kelele za wanaCHADEMA ambao hata hawajui wanachopigania kinapingana na katiba yao zitakwisha. Kwa hawa watu kutoka miji ya wakulima na wafugaji hawatokuwa na haki ya kupigania bandari ambao wengine hata hawajawahi kuiona badala yake wanapaswa kupigania pamba zao, mipunga yao, madini yao, maparachichi yao na kwamba rasimiliami za kila kanda zinapaswa kupiganiwa na tabaka la walio wengi ktk kanda husika
 
Unawalaumu chadema alafu maksudi hutaki kuwalaumu ccm ambao tokea uhuru wao ndo wanaoongoza hii nchi inawajinga wengi sana

Tatizo la nchi hii ni ccm upende au usipende chadema hawajawahi kuongoza serikali unawalaumuje serikali ilihali hujawapa nafasi

Hata hiyo sera ya majimbo ni ya chadema lakini kamwe ccm hawawezi ikubali kwa sababu ukikubali majimbo maana yake nafasi za ukuu wa mkoa na wilaya zinaota mbawa ccm hawawezi kubali hizo nafasi ziote mbawa sababu ndo ulaji wao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…