Wengi wana past chafu sana. Na wengi wanahama sehemu wanaenda pengine, nenda sasa walipokulia upewe CV ni utatapika mzeeUnakuta mdada mzuri hakazii kbs ukiangalia muonekano kuanzia uso kifua tumbo paja mpaka tacall yupo vzr kitabia sio haba mpaka unajiuliza huyu kakosa nn mpaka anakuja kwangu?
Mkuu ntashukuru sana my pm is openkuna mmoja ana miaka 29 namjua vp nkupe namba yake?
Mapenzi yamekua ya kuviziana. Wanaume kwa wanawake wanaogopana.Kuna wadada wazuri tu wametulia lakini hawana bahati ya kupata wachumba, in short wana uhaba wa kupendwa.
Inafika wakati wanakiona wana gundu na kujichanganya kwa liwalo na liwe.
Kuna mmoja nimemuonea huruma sana, mana ametulia af kakutana na mimi nimeshaoa. Sitaki akolee mana sina malengo nae yoyote.
Ni hivyo tu kuna wadada wawaona warembo unawaogopa kumbe wana uhaba wa kupendwa
Sure mkuu, ukosefu wa ajira na mapenzi ya kuviziana hizi factors zimealibu taasisi ya ndoa.Wanaume wenyewe ndo hawa kataa ndoa, wanaume hasa vijana wengi hawana ajira wana maisha ya unga unga mwana, hao walio na hela hawataki kuoa bali kuchovya chovya, maisha yamekuwa mfurugo kabisa, kijana anaoa leo baada ya miezi sita unasikia talaka yaani full tafrani
Mkuu 3some ndo nini?Kabisa mkuu mi nina ndugu yangu wa kike ana 31 ila siwezi mshauri mtu amuoe yaani in short haifai aseee watu wanakojolewa na kupigwa 3some kwanzia chuo na bangi juu mkuu acha kabisa sio poa.
Kwa saivi mwanamke above 21 ambaye hajachumbiwa ni bomu kubwa sana hilo.
Cc Mwanaumke wa mithali
Fafanua kidogoMm nsipogusa ghorofa ya tatu sihangaikii na ndoa
[emoji419][emoji419][emoji419][emoji375]Wanaume wenyewe ndo hawa kataa ndoa, wanaume hasa vijana wengi hawana ajira wana maisha ya unga unga mwana, hao walio na hela hawataki kuoa bali kuchovya chovya, maisha yamekuwa mfurugo kabisa, kijana anaoa leo baada ya miezi sita unasikia talaka yaani full tafrani
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] daaah mkuu umeuaUsawa huu inawezekana kutokuwa na mtu ndiyo bahati yenyewe.
Bila 30++ sihangaikii kuishi & kuhemeana na mtoto wa mtu chumbaniFafanua kidogo
Sasa mtu anaoaje wakat kujihudumia mwenyewe anashindwa, peke yake tu anapiga pass ndefu ataweza wawili?Sure mkuu, ukosefu wa ajira na mapenzi ya kuviziana hizi factors zimealibu taasisi ya ndoa.
mtakubali?
Hakuna mwanamke anataka hili jambo la wake wawili au watatu, changamoto idadi ya wanaume waliopo hawawezi kukidhi mahitaji ya wanawake