Vipi kwa wanawake waliotulia lakini hawapati wachumba wa kuwaoa, wenye uhaba wa kupendwa

Vipi kwa wanawake waliotulia lakini hawapati wachumba wa kuwaoa, wenye uhaba wa kupendwa

Unakuta mdada mzuri hakazii kbs ukiangalia muonekano kuanzia uso kifua tumbo paja mpaka tacall yupo vzr kitabia sio haba mpaka unajiuliza huyu kakosa nn mpaka anakuja kwangu?
Wengi wana past chafu sana. Na wengi wanahama sehemu wanaenda pengine, nenda sasa walipokulia upewe CV ni utatapika mzee
 
Kuna wadada wazuri tu wametulia lakini hawana bahati ya kupata wachumba, in short wana uhaba wa kupendwa.

Inafika wakati wanakiona wana gundu na kujichanganya kwa liwalo na liwe.

Kuna mmoja nimemuonea huruma sana, mana ametulia af kakutana na mimi nimeshaoa. Sitaki akolee mana sina malengo nae yoyote.

Ni hivyo tu kuna wadada wawaona warembo unawaogopa kumbe wana uhaba wa kupendwa
Mapenzi yamekua ya kuviziana. Wanaume kwa wanawake wanaogopana.
 
Wanaume wenyewe ndo hawa kataa ndoa, wanaume hasa vijana wengi hawana ajira wana maisha ya unga unga mwana, hao walio na hela hawataki kuoa bali kuchovya chovya, maisha yamekuwa mfurugo kabisa, kijana anaoa leo baada ya miezi sita unasikia talaka yaani full tafrani
Sure mkuu, ukosefu wa ajira na mapenzi ya kuviziana hizi factors zimealibu taasisi ya ndoa.
 
Bora Mimi naolewa!
Pia nna kidumu changu Mr @--ee
MUNGU ANIPE NINI MM!!🙏
 
Kabisa mkuu mi nina ndugu yangu wa kike ana 31 ila siwezi mshauri mtu amuoe yaani in short haifai aseee watu wanakojolewa na kupigwa 3some kwanzia chuo na bangi juu mkuu acha kabisa sio poa.

Kwa saivi mwanamke above 21 ambaye hajachumbiwa ni bomu kubwa sana hilo.

Cc Mwanaumke wa mithali
Mkuu 3some ndo nini?
 
Wanaume wenyewe ndo hawa kataa ndoa, wanaume hasa vijana wengi hawana ajira wana maisha ya unga unga mwana, hao walio na hela hawataki kuoa bali kuchovya chovya, maisha yamekuwa mfurugo kabisa, kijana anaoa leo baada ya miezi sita unasikia talaka yaani full tafrani
[emoji419][emoji419][emoji419][emoji375]
 
Sure mkuu, ukosefu wa ajira na mapenzi ya kuviziana hizi factors zimealibu taasisi ya ndoa.
Sasa mtu anaoaje wakat kujihudumia mwenyewe anashindwa, peke yake tu anapiga pass ndefu ataweza wawili?
 
Binafsi hapana kwakweli mke wa pili kuendelea naona kama mkosi

Cc Smart911

Ni bora uwe mke wa pili kwa mwanaune anaejitambua kuliko uwe mke mmoja kwa mwanaume mpumbavu asiejitambua. Hata wanao watakushukuru uamuzi wako wa kuwachagulia baba bora.

Imagine uambiwe uchague uzaliwe familia ya mwinyi mwenye wake wawili ama uzaliwe familia ya chikumbalaga mwenye mke mmoja
 
Back
Top Bottom