Teslarati
JF-Expert Member
- Nov 21, 2019
- 2,621
- 10,466
Wengi wana past chafu sana. Na wengi wanahama sehemu wanaenda pengine, nenda sasa walipokulia upewe CV ni utatapika mzeeUnakuta mdada mzuri hakazii kbs ukiangalia muonekano kuanzia uso kifua tumbo paja mpaka tacall yupo vzr kitabia sio haba mpaka unajiuliza huyu kakosa nn mpaka anakuja kwangu?