Wapo wanaume wanaojua kupenda na Kuishi na madhaifu ya wanawake
Km namjali namuheshimu namfanyia kilakitu kizuri why asinidekeze ndo mapenz hayo ππ
Kudekezwa ndio kupewa pesa ,hii imekaa kijanja sana kama huna D mbili hauwezi elewaπ π πππππMimi mwanaume asiejua kudekeza na kubembeleza naonaga kabisa nitakufa siku sio zangu
Yani kuwa strong women ndo sijawezaga ππ
Mimi mwanamke anayetanguliza pesa namuona kama malaya tu.πΉπΉπΉ Mahanjamu kwa wanawake sio kipaumbele chetu, pesa ndio hufanya mahanjamu yanoge.!!
Pesa kwenye husiano km chumvi kwenye mboga πββοΈπββοΈπββοΈπββοΈ
Eeeh! Enzi hizo lakini ulivyokua kijana sasa hivi siushampata bibiNikiona anapenda sana kuposti picha kwenye social media halafu hajui kutofautisha kati ya R na L.
TutakurogaUkiona hakupi hela ujue hakupendi,,,,mwanaume anampa pesa na kumuhudumia mwanamke anayempenda
Sio kweli pesa inatakiwa imilikiwe na kila jinsia na kusaidiana wote kwenye maisha kama mnapendana kweli.Ukiona hakupi hela ujue hakupendi,,,,mwanaume anampa pesa na kumuhudumia mwanamke anayempenda
Eti alikuwa ananipima kama nina kiburi.Eti umejenga mwenyewe?
π€£π€£π€£ Alitaka kuikopea?
Kukupa au kutokupa haimanishi kuwa anakupenda wapo wanaume wanakuja kwasababu wanahitaji sex na wanajua kabisa ili ulainike ni lazima watoe pesa au amentain penzi lazima akupe pesa na akishakuchoka hakupi tena pesa au anakutafutia sababu umuache au yeye akuache na wapo wanaume anakuja kwako cos anakupenda kukupa atakupa but kwa nadra wakati anakusoma mpaka pale atakapoona unafaa ndio anaweza kujitoa kwako.Ukiona hakupi hela ujue hakupendi,,,,mwanaume anampa pesa na kumuhudumia mwanamke anayempenda
Wewe kaka mkubwa ni haki yako si uko mambele hata papuchi ukipewa unaipiga kistaarabu sio km wamatumbi wetu huku.!!Mimi mwanamke anayetanguliza pesa namuona kama.malaya tu.
Kama mtu anayesumbuliwa nanumasikini ambaye hana oesa zake anategemea mwanamme ili apate pesa.
That is a turn off for me.
Even as by nature I am a very good provider, I pay bills, etc.
Lakini ile kuwa na mwanamke mwenye expectations za pesa naona kinyaa.
Labda kwa sababu nimekaa nje sana na sijazoea wanawake wa Kitanzania wengi ambao wana tabia hiyo ya kufanya wanaume kama ATM.
Wala tofaut kubwa sanaKudekezwa ndio kupewa pesa ,hii imekaa kijanja sana kama huna D mbili hauwezi elewaπ π π
Mwanaume asiyejua kubembelezaβWala tofaut kubwa sana
Kunawatu hawajui hata kuzungumza na wapenz wao πππ
Huo mda wa kubembelezwa mtakula mawe ? Tena unatakiwa mkutane tu mwisho wa mwaka nikupee mimba nirudi kuchakarikaπππππWala tofaut kubwa sana
Kunawatu hawajui hata kuzungumza na wapenz wao πππ
Hahahahaha, aleko msalam, mzima weweπΉπΉπΉ samaleko
Pole sana kamanda, ni wanawake wengi wako hivyo.Dada zako hawajui wanataka nini alafu ving'ang'anizi
Bora umekazia Kuna namna kunavitu unatamni kusikia Yani Leo umependezaMwanaume asiyejua kubembelezaβ
KaoneπMwanaume asiyejua kubembelezaβ