Vipi Mdau, Ukiona sign gani kwenye mahusiano ya kimapenzi unajua hapa hatufiki mbali?

Wapo wanaume wanaojua kupenda na Kuishi na madhaifu ya wanawake
Km namjali namuheshimu namfanyia kilakitu kizuri why asinidekeze ndo mapenz hayo πŸ˜‚πŸ˜‚

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Mimi mwanaume asiejua kudekeza na kubembeleza naonaga kabisa nitakufa siku sio zangu
Yani kuwa strong women ndo sijawezaga πŸ˜€πŸ˜€
Kudekezwa ndio kupewa pesa ,hii imekaa kijanja sana kama huna D mbili hauwezi elewaπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Mimi mwanamke anayetanguliza pesa namuona kama malaya tu.

Kama mtu anayesumbuliwa na umasikini ambaye hana pesa zake anategemea mwanamme ili apate pesa.

That is a turn off for me.

Even as by nature I am a very good provider, I pay bills, etc.

Lakini ile kuwa na mwanamke mwenye expectations za pesa naona kinyaa.

Labda kwa sababu nimekaa nje sana na sijazoea wanawake wa Kitanzania wengi ambao wana tabia hiyo ya kufanya wanaume kama ATM.

Kuna siku nilikuwa namtongoza dada mmoja Mmarekani, nampanga tutoke dinner.

Akasema hawezi kutoka dinner, hana pesa.

Nikamwambia usitie shaka, nitalipia kila kitu.

Akaniambia yeye hawezi kwenda dinner kama hana pesa zake mwenyewe, hata kama atalipiwa kila kitu.

Nikasema dada zetu wa kibongo wako wapi waje wapate darasa hapa?
 
Ukiona hakupi hela ujue hakupendi,,,,mwanaume anampa pesa na kumuhudumia mwanamke anayempenda
Kukupa au kutokupa haimanishi kuwa anakupenda wapo wanaume wanakuja kwasababu wanahitaji sex na wanajua kabisa ili ulainike ni lazima watoe pesa au amentain penzi lazima akupe pesa na akishakuchoka hakupi tena pesa au anakutafutia sababu umuache au yeye akuache na wapo wanaume anakuja kwako cos anakupenda kukupa atakupa but kwa nadra wakati anakusoma mpaka pale atakapoona unafaa ndio anaweza kujitoa kwako.
 
Wewe kaka mkubwa ni haki yako si uko mambele hata papuchi ukipewa unaipiga kistaarabu sio km wamatumbi wetu huku.!!
Huku ukila chips zake za buku anahakikisha mwendo uliokuja nao sio utakaondoka nao 🀣🀣🀣🀣

Picha linaanza umeingia gheto, anakuingiza ndani wewe na viatu vyako. Hizo chips unakula kakusimamia anaona km unachelewa.!!
Sasa si bora umuombe pesa ujue moja lasivyo ataipiga mipigo yote ukose had pesa ya panadol kupoza maumivu..! 😹😹😹
 
Wala tofaut kubwa sana
Kunawatu hawajui hata kuzungumza na wapenz wao πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Huo mda wa kubembelezwa mtakula mawe ? Tena unatakiwa mkutane tu mwisho wa mwaka nikupee mimba nirudi kuchakarikaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…