Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Hahahahaha,Mara Umekula...Unafanya niniπ...
Nimekumbuka wakati nipo Advance miaka hiyo...Kuna Mwanafunzi alikuwaga na simu zile Nokia za Mwanzo kabisa...
Sasa Usiku baada ya Prepo ndiyo tunaigongea Bweni zima...Na siku za J2 ambazo hatuendi Prepo...Siku moja Mwenzetu akawa anaongea na mtu wake...Mtu wake Akamuuliza Umelala akamjibu ndiyo...Akamuuliza tena umevaa nini...Akamjibu Sandaπ€£π€£π€£π€£π€£
Tulicheka Bweni Zima kama Vibwengoπππ
Nakazia mwanaume haumii akimpa Hela ampendaeUkiona hakupi hela ujue hakupendi,,,,mwanaume anampa pesa na kumuhudumia mwanamke anayempenda
Wamekuwa viumbe hatari sanaπ€£π€£Hao dada zetu tunawakwepa kama ukomaπ€£π€£π
Jamni hata dini Unasema tuwe na ulimi laini kha πHayo mapenzi ya kuchikuchi hotae, kwa sasa ni ngumu mno labda msubiri kustaafuπππ
Tatizo kistaarabu ya kwa Biden na kwa mama kizimkazi tofauti, huku sio mapenzi ni vita.!! πΉπΉπΉKhaa,
Na nyie mnataka kupigwa kistaarabu? Halafu mkatangaze mtaani " palee, pale hamna kitu unapapaswa papaswa papani tu".
Si tumekubaliana mnataka gwaride la kijeshi, au?
Niko poa kbs,nasoma maoni ya wadauMzima sijui wewe?
My Wii unazungumzia nn π€£π€£Tatizo kistaarabu ya kwa Biden na kwa mama kizimkazi tofauti, huku sio mapenzi ni vita.!! πΉπΉπΉ
Huku hatufanyi starehe tunakomoana ohhh!! π€£π€£π€£
Watu wanamalizia frustrations zao zote za maisha hapohapo eeh?Tatizo kistaarabu ya kwa Biden na kwa mama kizimkazi tofauti, huku sio mapenzi ni vita.!! πΉπΉπΉ
Huku hatufanyi starehe tunakomoana ohhh!! π€£π€£π€£
Na wewe toa yako tuyasome chiefNiko poa kbs,nasoma maoni ya wadau
Sema tunawezana nao sana ,kama haujaleta pesa kusogezewa chakula na mguu ni jambo la kawaida sana πππWamekuwa viumbe hatari sanaπ€£π€£
Hahahahaha, mimi msomaji tu Chief ,najifunza kwa wadauNa wewe toa yako tuyasome chief
Wii wanaume wetu wa kimatumbi πΉπΉπΉMy Wii unazungumzia nn π€£π€£
π€£π€£π€£Kunasiku Nilicheka mdada jirani kampigia simu mpenzwake akamuita, mkaka haish mbali alivoenda akampa elf 10 alivorud nikamuomba anisindikize sokoni mara jamaa kapiga anamwambia amuhesabie chakula π€£π€£π€£π€£Yani Ile elf 10 alitoa Ili na yeye aje kulaKwahyo kuna hawa,,,,pesa hawakupi na akitoa ujue kazi umeufanyaaa......mpaka katoa
ANAKUJA KWAKO anakula,analala,anaoga na anaondoka zake na hakupi pesa.
Kwahyo huyu naye tumuweke kwenye kundi gan maana hata akusaidie kulipa rent .....ila hafanyi hivyo
Je huyo naye anakusoma tabia yako au n vipi
πππ Si ndio.Watu wanamalizia frustrations zao zote za maisha hapohapo eeh?
Mnawindana kama wanyama wa mwitu.πππ Si ndio.
Halafu ndio usimuombe pesa Thubutuuu!!
π€£Wii wanaume wetu wa kimatumbi πΉπΉπΉ
Eee ndio piga nikupige π€£π€£π€£Mnawindana kama wanyama wa mwitu.