Hahahahah sasa kumbe unaringa sababu uko New York mzee! Huko watu wako busy na maisha nani ana muda wa kufuatilia umekula nini ama umefanya nini cha maendeleo yako binafsi?Sawa, umesema wachawi wanaweza kupaa, kuyeyuka na kufufuka ila hawawezi kupata details zangu basi tukutane Times Square NY they pick the time. Wao wafike hapo kichawi mimi nawaletea details zangu zote hadi kimba wakitaka.
Hahahahah sasa kumbe unaringa sababu uko New York mzee! Huko watu wako busy na maisha nani ana muda wa kufuatilia umekula nini ama umefanya nini cha maendeleo yako binafsi?
Hamna wachawi Marekani mjini!Wanakuja au napo hawawezi?
we jamaa hata boarding school hujapita kweli
kaa huko huko tu huku hakufaiWanakuja au napo hawawezi?
Hamna wachawi Marekani mjini!
Wachawi wako nchi masikini huku tulipo sisiSasa wanaweza nini?
majunguSasa wanaweza nini?
majungu
sasa si utafungua nyingine tu we tuma hiyo elaExtrovert Lover boi nawasaidia mwambieni Chizi Maarifa atoe jina la huyo diwani mimi nitawapa kila mmoja wenu laki tano (500,000/=) TSH.
Moderator simamia hili. Wakitoa jina la huyo diwani na nisipowalipa futa kabisa account yangu.
sasa si utafungua nyingine tu we tuma hiyo ela
πππππmi huwa mawachora tu ety uchawi hamna mimi mwenyewe nilikuwaga mbishi hivi hivi ila ile siku sikuwa na hamu ukicheki miti ya mipera iko mbali na mimi ila nilipigwa ya mgongo toka siku hiyo niliacha kukaa nje hadi mida ya saa sita saa nne tu nishazama ndani.
Ulishasikia njaa mpauko wale wangese msosi upo wa kutosha unakula hushibi kumbe mnakula nayo
we jamaa mmiliki wa uzi leta jina huku unatukosesha mpungu kizembe hivi tunakusubiriNitume na jina hajatoa. Jina la diwani ambalo ni public record linafichwa vp?
pera linakuja horizontal Kwa speed ya hali ya juu sikuamini nikabaki nashangaa kama nusu saa hvπππππ
we jamaa mmiliki wa uzi leta jina huku unatukosesha mpungu kizembe hivi tunakusubiri
jamaa kapotelea mtini hawa ndo wauza chaiChizi Maarifa Atoe jina tu nakurushia muamala instantly believe me you.
I have a lot to lose kupoteza hii account kuliko kutoa 500k. Acc yangu sio mpya kama yako.
Huwa sina muda wa kubishana na wapumbavu au washamba. Kuna watu wanatafuta uzi wa kutokea/kufahamika.ukisoma tu texts za jamaa unagundua ni mshamba flani hivi anayetaka kuonekana mjanja.we jamaa mmiliki wa uzi leta jina huku unatukosesha mpungu kizembe hivi tunakusubiri