Vita dhidi ya corona: RC Makonda aiombea Dar na Tanzania

Makonda Ni mpakwa mafuta mteule watu hawajui tuh,jamaa anakipawa kikubwa ndani yake

CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
 
Atakuwa anakemea malaika wa Mungu ambao ndio wanatulinda.
 
kabla kuiombea Tz anapaswa kutubu. Mambo yamchukizayo Mungu aliyoyafanya sirini na hadharani yote Mungu anayajua
Toba ameizungumzia vizuri sana. Hata namna nzuri ya kufanya toba ili maombi yako yapokelewe. Bila shaka toba anaifanya.

Tuondoe kinyongo juu yake.

Sent using iphone pro max
 
Hayo ya mahubiri hayanihusu kabisa na wala sitaki kuyasikia...but kwa upande mwingine huyu jamaa namkubali sana japo sina chama....kwanza kabisa huyu jamaa anawasaidia sana wasio na uwezo kimaisha, wagonjwa, mayatima, walemavu na hata kifikra ama kimawazo...yule Ahmed albait alikuwa na hali mbaya sana kama unaroho ndogo utatoa machozi jinsi alivyoteseka alimsimamia mwanzo mwisho mpaka akapona, alimpeleka india kwa gharama zake sio chini ya milioni 100 na ushee, na si huyo tu wengi tu amewasaidia....Mungu amuongoze na amlinde dhidi ya maadui...hasidi ama mwenye chuki siku zote hapendi kuona fulani anajitolea kusaidia ama kufanikisha...narudia kwa mara nyingine, sina chama....
 
Kila ninavyosoma michango yako huwa naishia kusikitika tu yani nachefuka. Dah haya kila mtu na opinion but you are not the Pascal we knew uess kuna kitu unatafuta.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
....... Numberd
 
😅😅duh wanaosali Hilo kanisa Ni marehemu wanaotembea tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…