Vita dhidi ya corona: RC Makonda aiombea Dar na Tanzania

Bashite is just a killer. Anawazuga mabwege kama nyie.
 
Kila ninavyosoma michango yako huwa naishia kusikitika tu yani nachefuka. Dah haya kila mtu na opinion but you are not the Pascal we knew uess kuna kitu unatafuta.

Sent using Jamii Forums mobile app
Anachefua sana siku hizi ajabu bado mkuu hamuoni kumpa u DC sijui watu wa system wamemtonya kuwa jamaa ni mnafki??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Paulo alilalamikiwa na kuhofiwa Kama muuaji lakini Mwenyezi Mungu hakuangalia mapungufu yake aliendelea kumtumia na kubadili jina kutoka Sauli na kuwa Paulo,Leo hii hekima yake na mafundisho yake ndio sehemu ya Biblia takatifu.

Nabii Musa alijiona muuaji na mwenye mapungufu mengi lakini Mwenyezi Mungu akasema wewe ndio ntakutumia kuwatoa watu wangu kutoka utumwani Misiri.

Unataka kujua kuhusu Mtumishi wa Mungu DAUDI,mapungufu yake yalikuwa hayapimiki kibinadamu,pamoja na kumtanguliza Askari wake mstari wa mbele katika Vita ili auwawe na kweli akauwawa na yeye akamchukua mke wa Askari wake,bado Mwenyezi Mungu hakuondoa kusudi lake juu ya DAUDI.
Isaya : Mlango 1
18 Haya, njoni, tusemezane, asema BWANA. Dhambi zenu zijapokuwa nyekundu sana, zitakuwa nyeupe kama theluji; zijapokuwa nyekundu kama bendera, zitakuwa kama sufu.







Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata wachawi wanasali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu
"flagrant denial of the right to life " ina maana gani????



Hakuna maombi hapo hapo.. Damu alizo mwaga zitamfuata siku zote hapa duniani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila ninavyosoma michango yako huwa naishia kusikitika tu yani nachefuka. Dah haya kila mtu na opinion but you are not the Pascal we knew
Pole sana!, Pasco ni yule yule, juzi, jana na leo.
P
 
Ndugu wan JF kikubwa ni kufuata maelekezo ya wataalum wa afya juu ya kujikinga na COVID 19. Kama maombi yangekuwa tiba, basi uliwengu wote ungfunga na kuomba na janga hili likatokomea! Tusifanye mzaha na ugonjwa huu
 
Vp Vp wabunge waliopo dar washaondoka? Tuanzie hapo kwanza
 
Hata wachawi wanasali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anae jua usafi na uchafu wa Makonda ni Mungu pekee! wewe umekaririshwa.

Hata kama Makonda ana machafu anaepaswa kumhukumu ni Mungu peke yake, coz kuna kutubu.

Hivi unaju historia ya Paulo wewe?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Makonda anasema Mungu ni Baba, anakujua kujua kuliko unavyojijua, hivyo anafahamu mahitaji yako kuliko hata wewe unavyojijua wewe mwenyewe.

Kuna vitu unaweza kuomba Mungu na kuna vitu Mungu anakupa bila hata ya wewe kuomba.
P
Mtawajua kwa matendo yao. Maneno hayo Pascal unayaelewa?

Andiko jingine linasema, "si kila asemaye Bwana Bwana atauona ufalme wangu bali ayaishiye mapenzi ya Baba". Hilo nalo walijua?

Watatenda miujiza, tena kwa jina langu, lakini msiwaamini maana ni manabii wa uwongo. Hilo walijua?

Hata shetani anaweza kunukuu Biblia lakini hawezi kuwa mtakatifu kwa sababu ya nukuu hizo.

Pascal, wapo wapakwa mafuta lakini kipimo chao siyo nukuu za biblia wala kuhubiri kwa sauti ya juu au uwezo wa kulia madhabahuni. Pascal, uzidi kuomba neema ya Mungu ili ujaliwe hekima ya Mungu, upate kuzijua siri za Baba wa mbinguni. Usipokuwa makini unaweza kushiriki katika kulihujumu Taifa la Mungu bila kutambua wala kukusudia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binafsi nimependa nilichokiona na kukisikia, ngoja tuone baada ya haya majukumu ya Mkoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…