Kabla sijakupa daawa kulingana na maradhi Yako ww upo zizi Gani?; La YESU au muham mad aka allah?🎤Mkuu kabla hujahama naomba unionyeshe siku ya Christmas kwenye bibilia? Lingene nioshenye neno ukotoliki kwenye bubilia
Sijawahi kuwaona wanakengeuka sehemu nilipo.Wewe uliona wapi wanafurushwa?Jibu hoja, je hao Wakarismatiki wanavunja utaratibu upi au amri ipi ya Mungu?
Mkuu kabla hujahama naomba unionyeshe siku ya Christmas kwenye bibilia? Lingene nioshenye neno ukotoliki kwenye bubilia.
Mkuu kabla hujahama naomba unionyeshe siku ya Christmas kwenye bibilia? Lingene nioshenye neno ukotoliki kwenye bubilia.
Daah?! Kazi Kweli kweli!Mkuu kabla hujahama naomba unionyeshe siku ya Christmas kwenye bibilia? Lingene nioshenye neno ukotoliki kwenye bubilia.
Kuna tofauti kubwa ya Kristo mtu/Mungu, Ukuristo Imani na Ukatoliki dhehebu, nimekuomba nionyeshe ukatoloki kwenye bibilia au Ukuristo dini kwenye bibulia, sio mtu Yesu,.....acha kujizima data mkuu.Daah?! Kazi Kweli kweli!
Afahamu Kwamba Biblia Takatifu Inajishuhudia Yenyewe kwamba sio NENO Pekee LA MWENYEZI MUNGU!;
[emoji116][emoji116]
Yohana 20:30-31
30 Basi kuna ishara nyingine nyingi alizozifanya Yesu mbele ya wanafunzi wake, zisizoandikwa katika kitabu hiki.
31 Lakini hizi zimeandikwa ili mpate kuamini ya kwamba Yesu ndiye Kristo, Mwana wa Mungu; na kwa kuamini mwe na uzima kwa jina lake.
Ndio sababu YESU Amekaimisha MAMLAKA Yake Kwa KANISA!
[emoji116][emoji116]
Mathayo 16:16-19
16 Simoni Petro akajibu akasema, Wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu aliye hai.
17 Yesu akajibu, akamwambia, Heri wewe Simoni Bar-yona; kwa kuwa mwili na damu havikukufunulia hili, bali Baba yangu aliye mbinguni.
18 Nami nakuambia, Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu; wala milango ya kuzimu haitalishinda.
19 Nami nitakupa wewe funguo za ufalme wa mbinguni; na lo lote utakalolifunga duniani, litakuwa limefungwa mbinguni; na lo lote utakalolifungua duniani, litakuwa limefunguliwa mbinguni.
Ndio sababu!;
-Biblia Takatifu!
-Tuna Mapokeo!
Matakatfu!
Pia tuna -MAMLAKA!
.
bora ungesema wapentekosteUkuristo kwa jumla ni vurugu tupu uliondoka kwenye msingi ya Bibilia na kuanzisha mambo yao yasio kua na rejea kwenye bibilia hao wakatoliki wana bariki ndoa za ushongaa, wanaabudu masanamu ambao ni ushirikina mkubwa sana kwa mbali angalau Wasabato.
ulicho Andika na kuuliza ni wazimu wa kuuliza maswali🙄🤪Kuna tofauti kubwa ya Kristo mtu/Mungu, Ukuristo Imani na Ukatoliki dhehebu, nimekuomba nionyeshe ukatoloki kwenye bibilia au Ukuristo dini kwenye bibulia, sio mtu Yesu,.....acha kujizima data mkuu.
Father Nkwera!?Sina uhakika alipo.Yupo kweli?Hivi yuko wapi kiongozi wa wakarismatiki nchini father Nkware? Siku hizi simsikii huyo mtumishi wa Mungu
Katika imani zote ukitoa Buddhism hakuna watu smart kama catholics, Hakuna mvaa Kobazi yoyote duniani wa kufanana na Mkatoliki!Ukuristo kwa jumla ni vurugu tupu uliondoka kwenye msingi ya Bibilia na kuanzisha mambo yao yasio kua na rejea kwenye bibilia hao wakatoliki wana bariki ndoa za ushongaa, wanaabudu masanamu ambao ni ushirikina mkubwa sana kwa mbali angalau Wasabato.
Huo ni mtizamo wako wa mhemuko wewe kama wewe, huwezi kushibitisha hata siku moja, Imani mchanganyiko kuna wanao bariki ndoa za kishoga kuna wana pinga, kuna charismatic catholics wanao cheza kama walokole kuna orthodox Catholic kuna KKKT wote hao ni catholics vurugu tupu.Katika imani zote ukitoa Buddhism hakuna watu smart kama catholics, Hakuna mvaa Kobazi yoyote duniani wa kufanana na Mkatoliki!
Padri kawombe.RC ni kuwalea waumini kiroho (wamjue Mungu, Wajue kusali wao wenyewe na waishi kutokana na neno la Mungu na kwalea kimwili(kuwapa huduma zakijamii kama elimu na afya),miujiza ni ziada kwa RC japo inafanyika mingi.
Imani katoliki haijakataza pombe, maana hata Yesu na wanafunzi wake walikuwa wanakunywa,kwani muujiza wa kwanza wa Yesu ulikuwa kubadilisha maji kuwa divai na aliufanya kwenye ndoa,kunywa haijakazwa ila kilicho katazwa ni unywaji kupitiliza (ulevi). Halafu kulelewa kiroho sio lazima umfuate padri, katoliki kuna vitabu lukuki vya kiroho, kuna novena na sala kibao ambazo zimeizinishwa na kanisa kupitia mabaraza ya maaskofu. Unaweza ukazisoma na ukakua kiroho.Padri kawombe.
Padri Mkude.
Padre Kimboi Hawa wote watu wa masanga ss huko kuwalea kiroho mnawaleaje ?