Kuna tofauti kubwa ya Kristo mtu/Mungu, Ukuristo Imani na Ukatoliki dhehebu, nimekuomba nionyeshe ukatoloki kwenye bibilia au Ukuristo dini kwenye bibulia, sio mtu Yesu,.....acha kujizima data mkuu.
ulicho Andika na kuuliza ni wazimu wa kuuliza maswali🙄🤪
👇🏽👇🏽
1 Timotheo 6:3-4
3 Mtu awaye yote akifundisha elimu nyingine, wala hayakubali maneno yenye uzima ya Bwana wetu Yesu Kristo, wala mafundisho yapatanayo na
utauwa,
4 amejivuna; wala hafahamu neno lo lote; bali ana wazimu wa kuwazia habari za maswali, na mashindano ya maneno, ambayo katika hayo hutoka husuda, na ugomvi, na matukano, na shuku mbaya;
Hata muham mad aka allah naye ameonya! Ila sababu ya ukafiri wako unajiona ni mjuzi zaidi yake!🙄🤪
👇🏽👇🏽
يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا لَا تَسْأَلُوا عَنْ أَشْيَاءَ إِن تُبْدَ لَكُمْ تَسُؤْكُمْ وَإِن تَسْأَلُوا عَنْهَا حِينَ يُنَزَّلُ الْقُرْآنُ تُبْدَ لَكُمْ عَفَا اللَّهُ عَنْهَا ۗ وَاللَّهُ غَفُورٌ حَلِيمٌ
[ AL - MAIDA - 101 ]
Enyi mlio amini! Msiulize mambo ambayo mkidhihirishiwa yatakuchukizeni. Na mkiyauliza inapo teremshwa Qur'ani mtabainishiwa. Mwenyezi Mungu amesamehe hayo. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye maghfira Mpole.
Ungekuwa Muumini!; muham mad aka allah alikwisha kufahamisha kuhusu Wakristo!
Hivyo Kwa ukafiri ulio nao kambishie muham mad aka allah
👇🏽👇🏽
۞ لَتَجِدَنَّ أَشَدَّ النَّاسِ عَدَاوَةً لِّلَّذِينَ آمَنُوا الْيَهُودَ وَالَّذِينَ أَشْرَكُوا ۖ وَلَتَجِدَنَّ أَقْرَبَهُم مَّوَدَّةً لِّلَّذِينَ آمَنُوا الَّذِينَ قَالُوا إِنَّا نَصَارَىٰ ۚ ذَٰلِكَ بِأَنَّ مِنْهُمْ قِسِّيسِينَ وَرُهْبَانًا وَأَنَّهُمْ لَا يَسْتَكْبِرُونَ
[ AL - MAIDA - 82 ]
Hakika utawakuta walio shadidi kuliko watu wote katika uadui kwa walio amini ni Mayahudi na washirikina. Na utawakuta walio karibu mno kwa mapenzi ni wale wanao sema: Sisi ni Wakristo. Hayo ni kwa sababu wapo miongoni mwao wasomi na wacha Mungu, na kwa sababu wao hawafanyi kiburi.
Nyumba Yako ya vioo dogo usianzishe mchezo wa kurushiana MAWE!