100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 4,766
- 16,191
Hivi ukiachilia mihemko ya kidini what is so special about Israel? Mbona mnadanganywa sana ninyi?Tusione mnakuja na Hashtags za FreeIran
Siyo hilo tu, bali kwa UPUMBAVU WENU NYINYI WAISLAM MMEANZISHA VURUGU PIA JORDAN MKIWACHOCHEA WAPALESTINA WA HUKO WAVAMIE ISRAEL, MWISHO WENU SASA NDIYO MNAULETA KWENU NYINYI WENYEWE"Utawala mbovu wa Israel utaadhibiwa kwa mikono ya watu wetu mashujaa," alihitimisha.
Kiongozi Muadhamu wa Iran Ayatollah Seyed Ali Khamenei: “Utawala mbovu utaadhibiwa na mikono ya watu wetu mashujaa. Kwa mapenzi ya Mwenyezi Mungu, tutawafanya wajutie uhalifu huu na mengine yanayofanana na hayo.”
Haijulikani ni kisasi gani kitakuwa, hata hivyo kuna uwezekano kwamba Hezbollah itaingia Israel hivi karibuni.
Mapinduzi makubwa yameanza katika nchi za mashariki ya kati, Iran, Iraq, Yemen na Lebanon ziko tayari kwa vita.
Kwani sasaivi hamueshimiki?,Bora tufe njaa lkn uislam duniani uheshimike na makafiri
so glad you got that. wokovu ni wa muhimu, tuishi tukiukomboa wakati. shetani anavuna sana watu bila kuokoka. okokeni ndugu zangu."siombi vita ipiganwe kwasababu watu wengi wanakufa bila kuokoka, na wanaenda motoni, wote waisrael na wairan. "
🤔🤔🤔
Hakika Mkuu, uko sahih haswa inatia huzuni.so glad you got that. wokovu ni wa muhimu, tuishi tukiukomboa wakati. shetani anavuna sana watu bila kuokoka. okokeni ndugu zangu.
Nini maana ya kuokoka au kuokoka inakuwajekuwaje?so glad you got that. wokovu ni wa muhimu, tuishi tukiukomboa wakati. shetani anavuna sana watu bila kuokoka. okokeni ndugu zangu.
WARUMI 10:9 Kwa sababu, ukimkiri Yesu kwa kinywa chako ya kuwa ni Bwana, na kuamini moyoni mwako ya kuwa Mungu alimfufua katika wafu, utaokoka. 10 Kwa maana kwa moyo mtu huamini hata kupata haki, na kwa kinywa hukiri hata kupata wokovu. 11Kwa maana andiko lanena, Kila amwaminiye hatatahayarika.Nini maana ya kuokoka au kuokoka inakuwajekuwaje?
Utaokoka inamaana ni future tense. Sasa ukimkuta mtu anasema ameokoka in present tense inakuwajekuwaje hapo?WARUMI 10:9 Kwa sababu, ukimkiri Yesu kwa kinywa chako ya kuwa ni Bwana, na kuamini moyoni mwako ya kuwa Mungu alimfufua katika wafu, utaokoka. 10 Kwa maana kwa moyo mtu huamini hata kupata haki, na kwa kinywa hukiri hata kupata wokovu. 11Kwa maana andiko lanena, Kila amwaminiye hatatahayarika.
Utaokoka inamaana ni future tense. Sasa ukimkuta mtu anasema ameokoka in present tense inakuwajekuwaje hapo?
"utaokoka" ni matokeo baada ya kutimiza condition ya kumkiri na kumwamini Yesu.Utaokoka inamaana ni future tense. Sasa ukimkuta mtu anasema ameokoka in present tense inakuwajekuwaje hapo?
Ilipigwa Japan sembuse Iran.Vita na Iran sio nyepesi hata US atajitahidi kuepuka hio vita.
Vita ikianza hapo Israel hakuna rangi wataacha kuona.
We unafikiri vita ya hio miaka ni sawa na sasa.Ilipigwa Japan sembuse Iran.
[emoji1787][emoji1787] mbona mnajidanganya wenyewe? Iran anatafutwa kwani kajificha wapi? Hezbollah wanawasha moto kila siku, Houth wa Yemen wameifunga bandari ya eilat na hakuna meli ya Israel inakatisha hapo redsea, Islamic resistance wa Iraq wanaidondoshea vitu vizito Israel ndani kabisa .Hatimae wameingia kwenye mfumo kwa sababu wao ndio hasa waliokua wanatafutwa muda wote, sisi acha tuendelee na kilimo cha mahindi na mpunga tuu
[emoji1787][emoji1787] mbona mnajidanganya wenyewe? Iran anatafutwa kwani kajificha wapi? Hezbollah wanawasha moto kila siku, Houth wa Yemen wameifunga bandari ya eilat na hakuna meli ya Israel inakatisha hapo redsea, Islamic resistance wa Iraq wanaidondoshea vitu vizito Israel ndani kabisa .Sisi tunajua adui mkubwa wa ugaidi ni iran huko kwingine gaza na yemen. Israel anajisumbua tu ila saizi tunataka Iran ajichanganye ili apigwe mazima.
Mental case!Hujui thamani ya uislam ndio maana. Unalala baa ukiamkia baa
[emoji1787][emoji1787] mbona mnajidanganya wenyewe? Iran anatafutwa kwani kajificha wapi? Hezbollah wanawasha moto kila siku, Houth wa Yemen wameifunga bandari ya eilat na hakuna meli ya Israel inakatisha hapo redsea, Islamic resistance wa Iraq wanaidondoshea vitu vizito Israel ndani kabisa .Iran haina uwezo wa kivita ndani tu ya 8ran wanawake walimkabili huyo Ayatollah kupinga kuvaa hijabu hadharani baada ya kifo cha msichana Mahsa Amin aliyeuawa kwa kupiga picha akiwa hajavaa hijabu
Maandamano ya kupinga kuvaa hijabu yalikuwa makubwa nchi nzima ya Iran huku waandamaji wakitoa matusi ya nguoni kwa Ayatollah na kutaka aondolewe madarakani na utawala wake wa kidini huku wakichoma majengo ya umma na kushambulia Asklari wa dini na kuchoma magari yao.Ayatollah kuona anataka kupinduliwa akaondoa askari wote wa dini wa kusimamia sharia mitaani wasisumbue wanawake tena Sasa hivi hawako kabisa.
Sasa hivi Iran hadi Tehran penyewe kuvaa hijabu hiari wanawake wengi wanatembea vichwa na vifua wazi na nguo za vimini bila hijabu ba hakuna wa kuwagusa.Ayatollah kaufyata kwa wanawake na hakuna sijui cha mwanamke akitaka kutoka nuwa lazima aambatane na mwanaume haipo huyo wanatoka kivyao kwenda popote .Ayatollah kaufyata.
Huyo ndiye aweza pigana na Israel huyo imamu wa msikitini dhidi ya Israel? Akiyeshindwa na wanawake wa Iran tu?
Anasubiriwa tu alianzishe dhidi ya Israel na Israel waanzishe mashambulizi dhidi ya Iran ili kuwapa motisha wapinzani wa Ayatollah walioko ndani ya Irani waanzishe vita ya ndani ya Iran wamtoe huyo Ayatollah na midevu yake wauondoe huo utawala wa kidini msumbufu ambao wairani wengi hawautaki.Ushahidi ni kuwa wanawake tu wakimtikisa kuwa hawataki kulazimishwa kuvaa hijabu na akaufyata akaondoa askari wasimamia sharia mitaani
Huyo Ayatollah hapendwi ndani ya Iran wa Iran wanasubiria t8 mtu aliwashe Iran na wao waliwashe ndani ya Iran
Aanze tu Israel wala hamuogopi Iran
Ila Iran ndio anamuogopa Israel ndio maana hata vita ya Gaza aligoma kujitosa akiogopa kuwa akihangaika kushambulia Israel huku nyuma Wa Iran watampindua
kwamba uislam una thamani? china wameuweka kwenye kundi la mental disease. ukweli ni kwamba uislam ni dini ya shetani kabisa ndio maana haujawahi kuleta majibu kwa mwanadamu yeyote, na unahitaji kupiganiwa ili usavaivu.Hujui thamani ya uislam ndio maana. Unalala baa ukiamkia baa
Kwa hiyo God of Israel ndiye aliyewaagiza hao waisrael kuwapiga wa Iran? Mnadhani wairan hawana Mungu? Sasa Kaa utulie vitisho vya kwamba Mungu wa Israel hatawaacha hayo hayawahusu wairan, ni kukosa akili Israel kupiga wenzie mpo kimyaaa lakini mkisikia Kuna malipizi yanakuja mnaanza ooh Mungu wa Israel na Mungu sijui wa nani labda niulize wakati Israel inatawaliwa utumwani kule misri Kwa muda wa miaka 400 au kipindi Hitler anatengeneza biogas kule Poland Kwa kutumia damu za waisrael Mungu wao alikuwa likizo?ni jambo la kuomba waishie hapohapo wasipigane vita, kwasababu wakifanya hivyo, uchumi wa dunia utaathirika sana, tutapata shida. Iran ni supplier wa mafuta na gas, hayo yakisimama, tutapata shida sana kiuchumi. on the other hand, Israel kwa upande wake ndicho alichokuwa anatafuta, anaamini akipigana na hezbollah au hamas au hurthi bila kuisambaratisha Iran, tatizo hilo litaendelea kujirudiarudia mara kwa mara maisha yake yote, hivyo ni muhimu mno kwake Iran iingie vitani naye ili isambaratishwe. Iran akiingia mtego huo, atajutia sana, yeye mwenyewe anaelewa hilo. siombi vita ipiganwe kwasababu watu wengi wanakufa bila kuokoka, na wanaenda motoni, wote waisrael na wairan. lakini kama ikipiganwa, I am confident with the God of Israel, hajawahi kuiacha Israel katika historia yote, lazima tu Israel ataibuka mshindi.
we ndio wale mnao weka/tundika bendera ya israel mkijihisi wabarikiwa huo ni ugonjwa mkuuAlisika mlevi mmoja akiwakumbusha walevi wenzie jinsi mataifa zaidi ya matano yanayoizunguka Israel yalivyokandwa
Atakaepitia hii comments yako na yangu atamjua mgonjwa ni yupi. Mimi nimeongea uwezo wa kivita wa Israel kuzipiga nchi zaidi ya 5. Kitu ambacho ni fact kilitokea.we ndio wale mnao weka/tundika bendera ya israel mkijihisi wabarikiwa huo ni ugonjwa mkuu