unaakili inayoangalia upande mmoja Urusi hajakabwa peke yake .The whole Europe haielew nchi zote zina inflation, kati kati zote zina experience negative environmental effects.
Mwez mmoja au miwil iliyopita ilibainika kuwa Germany iko kwenye recession, Jana naona Central Bank ya England wamepandisha riba hadi 5% situation ambayo ilitokea miaka 15 iliopita na ukiangalia ni kwel back in 2008 north america, Europe na dunia nzima kulikuwa na mgogoro wa kiuchumi.
Je ni nani hasa unavowafikiria "Whites" anaweza akaingia vitan ile hali kuna mdororo wa kiuchumi?
warusi kwa kiasi flan wamewabana koo wenzao kwa sababu ameanza kuwabumburua makoro tusiojielewa(Africans) koz inaonekana ndiko kunakowapa vibur watu wa West
ukiangalia biashara ya Uranium kat ya Niger na France ni wiz amabao France inabid ajifunze kula na vipofu mwenye Mali anapewa only 5% kweli na huo ndo udhaifu urusi anautumia.
hatujui nchi za common wealth za Africa wakiguswa cjui kwa kwel cjui
Mwisho waafrica tujifunze kitu tuache ushabiki maandaz muda huu umetoa mwanya kunagotiate na wawekezaj wa ulaya waboreshe terms tunufaike kidogo koz saiz usipoboresha unawatisha kidogo watu watafanya mapinduz wasije terminate contract zao