Usisumbuke kuwajibu watu waliolazwa wodi namba 2 milembeKama amemkaba koo , kwanini NATO wanaogopa kumpa silaha za masafa marefu zenye uwezo wa kufika hadi ndani ya Urusi ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usisumbuke kuwajibu watu waliolazwa wodi namba 2 milembeKama amemkaba koo , kwanini NATO wanaogopa kumpa silaha za masafa marefu zenye uwezo wa kufika hadi ndani ya Urusi ?
We unaumwa kwerikweri Urusi akitumia silaha kutoka Iran kakabwa Koo lakini Ukraine anepewa silaha na Dunia nzima hamsemi kakabwa wapi usikute humu Kuna wachangiaji kutoka MilembeHizo source uchwara ndio zinatangaza kwamba Russia anamtegemea pia Iran kwa ammunition mbalimbali hasa makombora na zile Shaheed drones sio!?
Mpaka hapo huoni kwamba Ukraine kamkaba koo huyu super pawer wa mchongo?
Wanaitwa "IKOWAZI"...😆😆😆Vipi huko ndugu zetu EKOWASI wanasemaje?
Russia baba laoNdiyo maana ya kuwa SUPER POWER kama nchi haijafikia hiyo level haiwezi kuhimili hiyo mikikimikiki yaani Bidhaa zako zisusiwe, undolewe kwenye mifumo ya kifedha ya Dunia, uwekewe vikwazo zaidi ya 2500, bado nchi hasimu Kwa umoja wao yaani NATO (G7 wakiwemo)wanachanga fedha na silaha kumpa adui Yako unaepigana nae n.k lakini bado unaendelea kuwakunyuga vikwazo vina bounce na kuwarudia wenyewe na wakati my wingine wanatumia mlango wa nyuma kuja Kwako kununua Bidhaa waliokuwekea vikwazo usiwauzie, bado unaenda kupindua viongozi ambao ni mapandikizi yao na unafanikiwa hakika RUSSIA BABA LAO
Huu upepo ukihamia East Africa,tukae mguu sawa mguu pandeKwenye vita kama hivyo kila mmoja atafaidi,na kila mmoja atapoteza. Ila cha kujiuliza,vifo visivyo na sababu kwa nani? Hasara kubwa kwa nani?
Sasa kama haka kababu ka juzi jana ka Nigeria,kameanza kujitoa ufahamu kutafta uhasama na wanajeshi,kanaona kako sahihi! Badhi ya viongozi Afrika ni wajinga mno. Huu umeme alokata,kwa majenerali wana jenereta na vyanzo vingine. Raia wa kawaida wanahusika vipi hadi wakatiwe umeme? Na hali ilivyo,inaonekana hii ECOWAS inadedi mda si mrefu. Na japo bado waoga,ila badhi ya nchi za Africa, zaidi ya nusu, hawapendi ukoloni unaoendelea,sema tu wamekosa vijana kama wa Burkina Faso. Algeria nayo ipo tayari kuisaidia Niger. Mwishowe Nigeria itakuja kujikuta imezingirwa na maadui,maana imeshaonyesha msimamo wake.
Uzuri ni kwamba mama,huo utopolo hana. Majirani zake Rwanda na Uganda,uziwaletee pumba. Kenya nako,kama vile wapo vizuri. DRC na Burundi ndo nina mashaka naoHuu upepo ukihamia East Africa,tukae mguu sawa mguu pande
Hata wajinga nao,wananafasi ya kuishi hapa duniani.Tuwe realistic guys, Ukraine haina uwezo kumkaba koo Urusi.
Russia haipigani na Ukraine mkuu. Ingelikuwa hivyo,kitambo sana hilo zowezi lishasahaulika.Tuwe realistic guys, Ukraine haina uwezo kumkaba koo Urusi.
Kwann msijitegemeeeThe Lesser of Two Evil Principle..... Ukikutana na kuchagua kati ya Maadui/mashetani/ wabaya wawili Tunachagua yule mwenye uafdhali zaidi.
Afrika unaezaj juwa kuwa wananchi wanaunga mkono serikal? Mnasahau mapema sana , baadae mtaanza walaumu hao wanamapinduz , nakumbuka mwaka 2005 hata mashulen walikuwa wanafundisha kuwa Ghadaf ni dictator ila miaka 6 mbele baada ya kuuawa ndo akawa shujaa wao , waafrika tunaendeshwa na media kuliko akili zetuIshu sio kuchaguliwa kidemokrasia je unatenda matakwa ya waliokuchagua?
Je wananchi wanapinga mapinduzi hayo?
ECOWAS waache kiherehere
Safi sana. Mmarekani na mfaransa wanazidi kudhalilishwa.Urusi leo imetoa onyo kwa nchi za ECOWAS zisithubutu kupeleka majeshi yao nchini Niger.
Niger coup: Russia warns Ecowas not to take military action