Vita vya Urusi na NATO kupanuka mpaka Afrika Magharibi nani atashinda?

Fedha za raslimali za waafrica wajinga kama vile oil.gold, uranium, cobalt, nickel etecetera
 
Hizo source uchwara ndio zinatangaza kwamba Russia anamtegemea pia Iran kwa ammunition mbalimbali hasa makombora na zile Shaheed drones sio!?

Mpaka hapo huoni kwamba Ukraine kamkaba koo huyu super pawer wa mchongo?
kama unataka kuelewa analyse mawazo ya watu usiwe conservative kushikilia iman yako. Mrusi Alisha forecast maybe patakuwa na battle kubwa zaid ya hata Ukraine unatakiwa ujipange kuangalia stock ya silaha unazokuwa nazo usije zubaishwa ukraine mbelen ukachapika.

kama umefuatilia vema habar hakuna shambuliz dhid ya Moscow ambalo Ukraine kajitokeza kudai kwamba wao wamehusika directly ushawah jiuliza kwa nn. urusi wao wanasema waz waz
 
Unajua kama USA anaogopa vita ya moja kwa moja na mrusi ?
Haogopi siku akiamua vita itakwisha baada ya masaa 24 na Russia knows that that’s why they don’t dare to use nuclear weapons it’s going to be the biggest mistake in Russian history
 
Haogopi siku akiamua vita itakwisha baada ya masaa 24 na Russia knows that that’s why they don’t dare to use nuclear weapons it’s going to be the biggest mistake in Russian history
Be serious, hakuna taifa hata moja la America au Ulaya Magharibi lenye uwezo wa kupigana na Russia eye to eye.
 
Kaangalie Ruble iko ngapi huko

Kaangalie Landing Ship yenu ina hali gani
@HIMARS huna unaloelewa ktk ulimwengu wa uchumi kuwa na currency yenye thaman so kuwa na uchumi mkubwa kk .value ya currency ina impact moja kwa moja kwnye biashara za kimataifa
 
@HIMARS huna unaloelewa ktk ulimwengu wa uchumi kuwa na currency yenye thaman so kuwa na uchumi mkubwa kk .value ya currency ina impact moja kwa moja kwnye biashara za kimataifa
Iko 96 sasa we endelea piga kelele.

Na meli yenu inasaidia na tug boats
 
@HIMARS huna unaloelewa ktk ulimwengu wa uchumi kuwa na currency yenye thaman so kuwa na uchumi mkubwa kk .value ya currency ina impact moja kwa moja kwnye biashara za kimataifa
Mbona luble ilipokuwa juu dhidi ya Dola mlikuwa mnashangilia kama mazombi?
 
Waafrika tujitokeze kwa wingi tukawashangilie Wagner.
 
Hata US kwa sasa ananunua Korea, Poland, na nchi nyingine za Ulaya. Hapo kila mtu ashinde mechi zake
Hana akili huyo ,anadhani kununua siraha ni kutokua na siraha hajui kama siraha inakua tofauti bei kutokana na technology na uchumi wa nchi. Unaweza ukapata siraha nzuri tu kwa bei nafuu ikakusaidia kwenye vita yako huku siraha zako zenye high technology unazo mfano ndege za IRAN zisizo na rubani .
 
Hali ya kiusalama tangu hapo si shwari nchi zote za Afrika Magharibi.Nigeria kujiweka kimbelembele sana kuyapinga mapinduzi ya Niger kwa kuwashawishi wengine watumie jeshi kunaweza kuwatumbukiza kwenye mzozo mkubwa wa kiusalama na kusambaratika kuliko nchi nyengine yoyote ya jimbo hilo.
 
Macho yote yako Afrika.Kwa upande wa Ulaya wako hali mbaya zaidi kwani hawana maliasili nyingi.Zaidi wanatumia ujanja ule ule wa kinyonyaji wa kikoloni.Wanayatawala mataifa kikoloni kwa kutumia teknolojia za kisasa.
Kwa mfano wafaransa wanawanyonya sana watu wa Afrika magharibi kwa kuanzisha miradi inayowatia utumwani wananchi wake na faida kuenda Ufaransa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…