Charles Gerald
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 1,403
- 1,837
Unageuka maji kuwa damu ipi?Waumini wa hiyo imani ni wabishiiiii 😅😅
..... kwao Ukifiwa unashangilia kwa makofi hakuna kulia 🙌😅
.....ukiumwa hakuna hospital unageuza maji kuwa damu unakunywa 🤣
Wako sawa kiasi fulani. Sema wanakwama. Serikali za kidunia lazima kuzitiiMashahidi wanaamini Hakuna utatu, Mungu ni mmoja na Yesu aliumbwa na Mungu.
Hawaamini, kwenye serikali, wala kuongezewa damu bora afe 😂
😂😂😂😂WanajinyunyizaKuna bibi nilikuwa nimepanga kwake kipindi nipo Moshi, alinishawishi kwenda kusali nikaenda bana, kwanza wote ni nguo nyeupe, na kila mmoja Ana maji kwenye chupa, katika ibaada ni kupiga makofi na kujinyunyuzia maji tu, ni mambo mengi ila kiufupi walinishinda na sikurudia kwenda tena.
Pole RafikiRubii umenikumbusha machungu😔😔 baba yangu mkubwa aliyenifanya nikaijua daslamu alikuja kujiunga na hao watu, baadae kisukari kilipomzidia( alikua nacho muda) walimkataza kunywa dawa wala asifuate masharti ya chakula alifariki mzee kakonda kaisha kakata tamaa hao watu wa hilo kanisa nikiwaona mpaka leo hii nasikia uchungu mkubwa sana rohoni
Wanatii na walipa kodi vizuri sana...Wako sawa kiasi fulani. Sema wanakwama. Serikali za kidunia lazima kuzitii
Kweli ni wabishi balaa, nakumbuka nilipataga demu alikuwa mkali sana kama kashushwa ila kasoro yake alikuwa ni mbishi balaa. Humwambii kitu kuhusu hilo kanisa.Waumini wa hiyo imani ni wabishiiiii 😅😅
..... kwao Ukifiwa unashangilia kwa makofi hakuna kulia 🙌😅
.....ukiumwa hakuna hospital unageuza maji kuwa damu unakunywa 🤣
Alivyokuwa anajiita.Naye alikuwa Mungu?
Hawa nao hawastahili kuitwa wakristu kwa sababu nafrasi ya Yesu katika kanisa lao sio sawa na Wakristu wengine. Hawa ni sawa sawa na yle ZUMARIDIKuna bibi nilikuwa nimepanga kwake kipindi nipo Moshi, alinishawishi kwenda kusali nikaenda bana, kwanza wote ni nguo nyeupe, na kila mmoja Ana maji kwenye chupa, katika ibaada ni kupiga makofi na kujinyunyuzia maji tu, ni mambo mengi ila kiufupi walinishinda na sikurudia kwenda tena.
Kwahio wamegawana majengo, au huyu miaka 1000 amejenga ya kwake? Siloamu ya mwanzo bado inaendelea?
Nahisi Siloam inaendelea pia japo huyo, wa kujiita BABA HALISI ndiye anatia fora sasa hiviKwahio wamegawana majengo, au huyu miaka 1000 amejenga ya kwake? Siloamu ya mwanzo bado inaendelea?