Vita ya madaraka Makanisani ilivyoanzisha Kanisa halisi kutoka Siloam!

MWaka juzi niliapata mgeni, akaniuliza kanisa la chanzo halisi.Tulivyolipata akaenda nikasema ngoja nimpeleka. Nikaenda ibadani asubuhi na yule best, aisee walikuwa wanaeleza watu hawalali. Eti kwanini saa 1 iwe inasoma saa 7 badala yake iwe saa 1 km moja. Akaelezea mwisho ikaonekani hatulali freemason wametubadilishia muda. Basi nikatoka nimevurugwa sina hamu. Nilisali pale wiki nzima maana tulikuwa na semina. Kabla ya kwenda semina tunapitia hapo kwanza. Best aliniuliza vipi utaendelea nikamwambia ntabaki na dini yangu niache kipenzi kampani niliyokupa inatosha sana..
 
Hivi,kumbe miaka 1โฐโฐโฐ ni jina!!.
mi nimesoma bandiko nikabaki na maswali elfu moja ni nini hasa.
 
Waumini wa hiyo imani ni wabishiiiii ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
..... kwao Ukifiwa unashangilia kwa makofi hakuna kulia ๐Ÿ™Œ๐Ÿ˜…
.....ukiumwa hakuna hospital unageuza maji kuwa damu unakunywa ๐Ÿคฃ
Huko utakutana na Waha na Wahangaza.

Sasa waza usually Waha ni wabishi then wafundishwe tena ubishi na huyo sijui miaka 1000
 
Kuna maeneo kama una akili timamu wala hauwezi kupoteza muda wako hata kufwatilia wanafanya nini binafsi hao jamaa ni kama hamna mtandao hivi
 
Dini zote ni utapeli ulio ruhusiwa na selikari zote duniani. Kwasababu dini zinasaidia serikali kupumbaza watu na serikali zote zinapenda kutawqla wapumbavu. Watu wenye akili bila dini ni ngumu kuwatawala .
 
Dini zote ni utapeli ulio ruhusiwa na selikari zote duniani. Kwasababu dini zinasaidia serikali kupumbaza watu na serikali zote zinapenda kutawqla wapumbavu. Watu wenye akili bila dini ni ngumu kuwatawala .
Kuna tofauti ya Dini na Imani wewe unaamini Mungu au humwamini?
 
Kuna maeneo kama una akili timamu wala hauwezi kupoteza muda wako hata kufwatilia wanafanya nini binafsi hao jamaa ni kama hamna mtandao hivi
Niliwakuta Star TV nikaona hawamtaji Mungu lakini wanatumia Biblia
 
Hawa ndo wanaosababisha dini zinatukanwa na wale watu wanaojiita wachokonozi ..ukiwasikiliza kwa makini muda mwingine wanakuwa na logic kwa vile wanaongea kuhusu dini hizi na mazingaombwe yake
Wachokonozi wako sahihi sena watu wanawapuuzia tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ