Vita ya Ukraine - Urusi ina hadhi ya kuziangusha serikali za Ulaya na Marekani

yaan unahis hao US na UK hawaoni idad ya maadui inavyoongeza huku NK , kule India , hapa China , huko Iran , Humu Venezuela , Huko Syria bila kusahau URUSI hlf waanze kushushana wao km wao , hv unazani wana akili km zako hao wazungu ?
 
Alisikika mkaazi mmoja wa manyovu aliyelewa kidogo!! akichambua vita ya Ukraine
 

Point, hii vita inaenda kuwangusha Biden, Boris na chancellor wa ujerumani ktk box la kura, hili anguko lipo wazi
Silaha wanazopeleka zinaangamizwa kabla hazijatumika. Kama NATO ingekuwa inashinda vita huko Ukraine wazingeongelea habari za kuongeza misaada, kuongeza vikwazo, kuzilaumu China, India, na ujerumami. Hali sio nzuri kwao ila wamebana taarifa zao za kushindwa zisitoke nje,
 
unaandika ukwel ila ttzo 2po vzr kwny kuandik kuliko utendaj kituko ni kuwa hata ww ukipewa fursa ya kuwatumikia wananchi utaishia kulitumikia kwanz tumbo lako , UJINGA bado kamudu kuwa adui wa kwanza kwa mtu mweusi
Kutumikia tumbo ndio upumbavu mkubwa binadamu anaoufanyia dunia hii. Ulizaliwa bila kitu na utazikwa bila kitu, ni heri ya yule aliyepanda japo mti mmoja wa kivuli dunia itamkumbuka vema kuliko aliyehangaika na matumbo ya ukoo wake TU.
 
kwan West ndio waliovamia Ukraine ? siku ukivamiwa utawashukur tu uwepo wao dunian
Hutaki kufahamu ni kwanini Ukraine imevamiwa na Russia lakini unafahamu ni kwanini Cuba inavamiwa na USA na Palestine inavamiwa na Israel, DRC inavamiwa na Rwanda, nk. Una safari ndefu sana.
 
lkn si mlisema RUSSIA ni superpower ? nan huyo hamwogopi superpower mpk amsingizie
Kama NATO imeshindwa Afghanistan isiyokuwa na mafuta, gesi Wala nguvu na nuclear itaiweza Russia yenye kila kitu? Kusema Russia itashindwa na NATO ni ndoto TU za asubihi. Russia ilijipanga kwa muda mrefu kwenye hili. Sasa hivi kazuia mafuta, gesi na chakula kwenda nchi za NATO hadi zilipe kwa Rubble. Vikwazo walivyoweka ni eye opener kwa wananchi wao kuhusu upuuzi wa viongozi wao.
 
Putin kidume, Scholz ameanza kuangushwa huko ujerumani:

Kama hujui Kiingera sikiliza hapa mpaka mwisho:
 
Kwa nini huongelei Russia kuondoa majeshi yake kwenye ardhi ya Ukraine, mbona unaongea kishabiki tu.
 
Hiyo ni bangi ya milima Usambaa inaongea.
 
Hutaki kufahamu ni kwanini Ukraine imevamiwa na Russia lakini unafahamu ni kwanini Cuba inavamiwa na USA na Palestine inavamiwa na Israel, DRC inavamiwa na Rwanda, nk. Una safari ndefu sana.
mkuu tupo current tunalenga kupunguza huu ujinga in future , kuunga mkono , uvamiz ni kukubali uvamiz uendele , hakuna kosa halijawai kufanywa ila hatuez tokomeza kwa kuunga mkono kosa kila wapo waliokosea pia
 
nimeuliza tu kuwa si tulikubaliana Russia ni superpower ?
 
Macron ndiye anayepigia chapuo nchi za EU ziachane na manunuzi ya gesi na mafuta ya Russia. Hilo lingefanyika hiyo vita ingeisha kesho saa nne asubuhi.
Lakini ushafuatilia misimamo ya Macron katika vita hiyo ilivyo? Angalia kwa karibu zaidi, utaona utofauti wake na wengine waliomo NATO.
 
Wewe akili ndogo shabikia siasa uchwara za aina ya jiwe tu nchini kwako, hizo za Ulaya na Marekani zinahitaji akili kubwa kuzielewa.
 
mkuu tupo current tunalenga kupunguza huu ujinga in future , kuunga mkono , uvamiz ni kukubali uvamiz uendele , hakuna kosa halijawai kufanywa ila hatuez tokomeza kwa kuunga mkono kosa kila wapo waliokosea pia
Ukiona NATO kila siku ina vikao vya kuchangia na kuweka vikwazo vipya ujue hali zao sio njema. Russia inayo mengi ambayo haijayafanya kwa NATO. Russia ni technolojia hata ya kuzima satellites zote za nchi za NATO. Kuishinda Russia ni gumu kuliko ngamia kupita tundu la sindano.
 
Wewe akili ndogo shabikia siasa uchwara za aina ya jiwe tu nchini kwako, hizo za Ulaya na Marekani zinahitaji akili kubwa kuzielewa.
akili yako pia inahitaji vipuli. Angalia kwa karibu utagundua kuwa waanzilishi wakuu wa NATO ni zile nchi zilizokuwa na makoloni mengi duniani. Ni zile nchi ambazo zilikutana Berlin kugawana makoloni na kuchora mipaka ya Afrika ili wagawane makoloni kwa amani chini ya Chancellor Bismarck ili kupata malighafi ya bure, nguvukazi rahisi, na masoko ya kuuza bidhaa zao za viwandani. hadi leo hii mataifa hayo bado na shida zilezile za malighafi, cheap labour, na masoko ya kuuza bidhaa zao, lakini mara hii wanatumia majeshi ya NATO kuvipata vitu hivyo kwenye nchi zenye rasilimali nyingi zenye viongozi wanaojitambua. Wamefanya hivyo Sudani, Syria, Yemen, Iraq, Libya, DRC Congo, Afrika ya kati, Yugoslavia, Venezuela, nk. Ukrane inaponzwa na gesi, chuma, uranium na ardhi yake nzuri kwa kilimo. Mabeberu wanaitaka. Siku Urusi ikianguka basi hali ya dunia itakuwa mbaya sana.
 
Huo ndio ukweli vita hii ni ya tofauti sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…