Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Mzinzi akioa na kuendelea kutumia njia ile ile aliyoitumia alipozini hana dhambi.

Shoga na Basha wake wakiona na kuendelea kutumia njia ile ile yakulana tako vipi inakubalika nayo kwenye dini?
Ushoga ni chukizo mbele za MUNGU kinachotakiwa ni mtu wa namna hiyo ahubiriwe apache njia zake mbaya kabla hajakutana na hukumu ya MUNGU.

Kadhalika kufanya ngono na mtu ambaye sio mwenza wa ndoa ni chukizo mbele za MUNGU mtu wa namna hiyo naye atubu apache uasherati wake na Aishi kupatana na matakwa ya MUNGU.

Ndoa ni kati ya mwanaume na mwanamke tofauti na hivyo ni machukizo Kwa MUNGU pia.

Kwa hiyo utaona kwamba uasherati uzinifu na ushoga yote ni uchafu na ni chukizo mbele za MUNGU. Asante, karibu sana
 
Kaka mm mbona niko upande wako soma tena comment yangu.mashoga wauwawe
Asiye na dhambi awe wa kwanza kuwaua[emoji23][emoji23][emoji23] kinachotakiwa ni kuwahubiria waache uovu wao ukimuua hujamsaidia chochote na pia kumbuka kuua ni dhambi ( kama wewe ni mkristo lakini)
 
Na wewe naona unapumiuliwa .hivi hujuwi dhambi hii shetani anakaa pembeni kabisa.na unapofanya kitendo hiki hata miti inainama chini kwa masikitiko,hivi ujiulizi Kwa nn gomora ilitiwa kiberiti
Andiko lipi linasema hivyo chief? Kama unalo liweke hapa nilione tafadhali, Asante
 
Bro hayo majaribu hata mimi nilikuwa nayo na inawezekana ni zaidi yako ila neema ya Mungu ilinivuta, kuniokoa na kunibadilisha. Hizo za kutamani na kudandia kila mwanamke ni Roho kamili ya Ibilisi ifanyayo kazi na sio wewe. Tulipotoka ni mbali sana na huwa nikiwaza hivi courage ya kununua wanawake kipindi kile kule Kahumba Morogoro au Mririna au madanguro ya Tanga na kutumia mapazia kujifutia ilitoka wapi? Ni roho hiyo bro ila Mungu ni muaminifu ukimkabidhi njia zako ataziondoa hizo Roho. Bro, Mungu yupo na ni kweli kabisa.
Umecomment Kwa uchungu sana kiongozi[emoji24][emoji24][emoji24]
 
Na tutawaua kweli. Nyie endeleeni na huo upuuzi wenu. Ushoga hautakiwi Tanzania.
Ila zinaa inatakiwa? Hivi unajua ushoga ni zao la zinaa? Laiti kila mtu angefuata maamrisho ya MUNGU akaheshimu ndoa yake na za wenzako, watoto wakalelewa katika familia zenye maadili, tusingekua na watoto wa mitaani, tusingekua na kizazi kisichokua na maadili na huo ushoga usingekuwepo kamwe
 
Embu fikiria umepata mtt wa kiume unajinasibu umepata mrithi wako kidume Cha nguvu mara paaa , anapumuliwa.hivi utajisikiaje ,simama kama mzazi mwanao anafanyiwa hivyo siyo unaleta quote za bibilia ambazo hata we mwenyew hujuwi maana yako.mashoga wote na nyinyi supporters wore ni wakupiga risasi tu
Ni mawazo yako ila Mimi Kwa Imani yangu mapenzi ya MUNGU wangu ni kwamba watu wa namna zote (wakiwemo mashoga) watubu na kuacha njia zao mbaya wamrudie Muumba wao kuwaua sio solution
 

1 WaKorintho 6:9-11​

1 Kor 6:9-11 SUV​

Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti, wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang’anyi.
Asante sana bimkubwa
 
Back
Top Bottom