imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Pale Uturuki Mungu kawaua Waumini 50,000 kwa kutumia matetemeko yake.Mungu ni mtakatifu, na mkamilifu.
Au wewe unaongelea Mungu wa aina gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pale Uturuki Mungu kawaua Waumini 50,000 kwa kutumia matetemeko yake.Mungu ni mtakatifu, na mkamilifu.
Huna unalolijua, bora ukae kimyaa tyuuh.Hormones imbalance wala sio ushoga, mimi nazungumzia ushoga. Kuzaliwa namna yoyote sio kosa. Mashoga wengi mnaowaona wala hawana hormones imbalance isipokuwa tabia tu za kujizoesha ndo zinawafanya wawe hivyo. So hakuna namna yoyote ya kuwatetea mashoga kwa hoja ya hitilafu za hormones.
Sasa huko hadharani mbna ndo wako wazi wazi na hawajifichiii, wanafanywa nn? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani mashoga wanakuja live kutetea USHOGA Ili uenee, Bahati Yao wamejificha nyuma ya keyboard,
Wajaribu kufanya hivyo hadharani waone impact yake.
Ungenipa tafsiri ya nini maana ya KIFO, ningekuwa ktk position njema ya kukwambia nini kimetokea Kwa hao 50,000 unaowaita waumini.Pale Uturuki Mungu kawaua Waumini 50,000 kwa kutumia matetemeko yake.
Au wewe unaongelea Mungu wa aina gani?
Mie nikitia neno hapa, watu wataanza kufura kwa hasira na chuki, nawatazama tyuuh.We madam unamchango gani??
Mwisho wa Maisha yaani the end kwa hiyo Mkuu jiachie maisha mafupi sana.maana ya KIFO,
Napinga sana ubadhirifu wa Mali za Umma, nenda kasome comments zangu.CAG kasema Matrilioni ya fedha zetu yameibiwa na uko kimyAAA.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanachekesha hawa watu, khaaaah.Ushauri wangu ni ukijisikia kula tuzi wewe kula Acha kujifunga funga na Dua na mambo yalioandikwa na mwanadamu mwenzako.
Naona umerudi tena huku danger zone[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanachekesha hawa watu, khaaaah.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan natamani kushusha gazetii kabisaaa, ila bas ngoja nisepeee.Naona umerudi tena huku danger zone[emoji23]
Shusha nisome[emoji23] we ndo unaongeaga point huku....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan natamani kushusha gazetii kabisaaa, ila bas ngoja nisepeee.
Ushakuja kunichawia wee, khaaaah
Thubutuuuuuu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Shusha nisome[emoji23] we ndo unaongeaga point huku....
Mtu ni ROHO, anayo NAFSI na anaishi ndani ya MWILI.Mwisho wa Maisha yaani the end.
Najua kuna siku utashindwa kujizuia tu[emoji23] Kuna comment utaiona itaku-trigger[emoji23]Thubutuuuuuu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bado naipenda JF,
Km juzi kuna comment niliona, hadi nikawa natetemeka, nusu nianze kushusha mkeka tena wenye maneno ya shomboo, mara paapu kitu kikagonga kichwani, wee jiletee Ban inakutakaa sanaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Najua kuna siku utashindwa kujizuia tu[emoji23] Kuna comment utaiona itaku-trigger[emoji23]
Shida inaanzia hapo, "tyuuh" ndio nini? Kwamba ndio hormone imbalance au?Huna unalolijua, bora ukae kimyaa tyuuh.
Kwani ukila ban nyingine ndo inakua mazima au vp[emoji23]Km juzi kuna comment niliona, hadi nikawa natetemeka, nusu nianze kushusha mkeka tena wenye maneno ya shomboo, mara paapu kitu kikagonga kichwani, wee jiletee Ban inakutakaa sanaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nli log out kwa muda, kupisha temper daaah
Hizo ni stories tu zilioandikwa na Wanadamu hakuna ushahidi wa kuwa Mtu ana Roho na kua akifa roho inatoka inaenda sehemu fulani.Mtu ni ROHO, anayo NAFSI na anaishi ndani ya MWILI.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee tutaishi hivyo hivyo kibishii bhanaa,Kwani ukila ban nyingine ndo inakua mazima au vp[emoji23]