Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Ndugu zangu nani asiyejua wanaume tunachukuliwa na wimbi la bahari kwa kasi ya ajabu, nani asiyejua wanaume mashoga wanakuongezeka kila leo, nani asiyejua tunapoteza uwezo wetu wa kimaumbile kwa spidi ya kutisha.

Nawaza, hivi ni kweli wanaume tutasakwa kwa tochi?... itakuwaje kwa dada zetu hali zao, je ndo watatumia midoli ama watapigana vikumbo na wanawake wenzao kwa kutafuta mwanaume.

Nawaza, kwa hakika itakuwaje dunia bila ya mwanaume, itakuwaje kwa vizazi vyetu hapo baadae.

Dunia itakuwa katika hali gani baada ya miaka 30?

Poleni sana dada zangu tutawaacha kwenye ugomvi baada ya wenyewe kwa wenyewe.

Kwa hakika yajayo yanatisha.
 
Ndugu zangu nani asiyejua wanaume tunachukuliwa na wimbi la bahari kwa kasi ya ajabu, nani asiyejua wanaume mashoga wanakuongezeka kila leo, nani asiyejua tunapoteza uwezo wetu wa kimaumbile kwa spidi ya kutisha.

Nawaza, hivi ni kweli wanaume tutasakwa kwa tochi?... itakuwaje kwa dada zetu hali zao, je ndo watatumia midoli ama watapigana vikumbo na wanawake wenzao kwa kutafuta mwanaume.

Nawaza, kwa hakika itakuwaje dunia bila ya mwanaume, itakuwaje kwa vizazi vyetu hapo baadae.

Dunia itakuwa katika hali gani baada ya miaka 30?

Poleni sana dada zangu tutawaacha kwenye ugomvi baada ya wenyewe kwa wenyewe.

Kwa hakika yajayo yanatisha.
🎼🎵 Nawaza mambo kwa kina,
Na bado majibu sina,
Itakuwa vipi, itakuwa vipi x2 🎶🎼 -by MwanaFA.

🤔🥹😭😭
 
Ndugu zangu nani asiyejua wanaume tunachukuliwa na wimbi la bahari kwa kasi ya ajabu, nani asiyejua wanaume mashoga wanakuongezeka kila leo, nani asiyejua tunapoteza uwezo wetu wa kimaumbile kwa spidi ya kutisha.

Nawaza, hivi ni kweli wanaume tutasakwa kwa tochi?... itakuwaje kwa dada zetu hali zao, je ndo watatumia midoli ama watapigana vikumbo na wanawake wenzao kwa kutafuta mwanaume.

Nawaza, kwa hakika itakuwaje dunia bila ya mwanaume, itakuwaje kwa vizazi vyetu hapo baadae.

Dunia itakuwa katika hali gani baada ya miaka 30?

Poleni sana dada zangu tutawaacha kwenye ugomvi baada ya wenyewe kwa wenyewe.

Kwa hakika yajayo yanatisha.
🎼🎵 Nawaza mambo kwa kina,
Na bado majibu sina...
Itakuwa vipi, itakuwa vipi x2 🎶🎼 -by MwanaFA.

🤔🥹😭😭
 
Kama ilivyo kwa upande wa wanaume kujichua ila wanaume unakua pekeyako.

Kwa wanawake ni tofauti ni lazima wawe wawili waweze kugusanisha vikojoleo vyao. Na wakiulizwa sababu ya wao kufanya hivyo watakuambia wanaume sio waaminifu lakini uhalisia ni kwamba wanafanya hivyo baada ya kuona wamekuwa na shimo zao na hii ndio sababu kubwa inayo pelekea wanawake kusagana ni ukubwa wa via vyao vya uzazi baada ya kuona mashine haziwatoshi lila mwanaume kwake ni kibamia hivyo njia pekee ya kukikabili hili ni kusagana.


Nb
Wanawake jichungeni kupigwa na mashine tofauti haimaanishi ni ujanja mnajiharibia wenyewe ila ndio hivyo hamsikii maana hamtaki kazi imefika mahali hata ukitaka bando njia pekee ni kutanua miguu ....haya kila laheliii kwenu
 
"Na wakiulizwa sababu ya wao kufanya hivyo watakuambia wanaume sio waaminifu lakini uhalisia ni kwamba wanafanya hivyo baada ya kuona wamekuwa na shimo zao na hii ndio sababu kubwa inayo pelekea wanawake kusagana ni ukubwa wa via vyao vy uzazi baada ya kuona mashine haziwatoshi lila mwanaume kwake ni kibamia hivyo njia pekee ya kukikabili hili ni kusagana"
Mleta mada, huu ni utafiti umefanya au umehadithiwa na Mtu?
 
Tatizo la kimfumo wa kidunia; wanaume wanapotezwa na kubaki wachache na kupelekea wanawake kuwa wengi bila wapenzi wa kiume, na hatimaye wao kutafuta njia mbadala ya kujiridhisha, ndio maana kuna midoli n.k

Mwisho wa hii changamoto kutakuwa hakuna uzao endelevu; hatujajua lengo kuu ni nini ikiwa hivyo.​
 
Kama ilivyo kwa upande wa wanaume kujichua ila wanaume unakua pekeyako.

Kwa wanawake ni tofauti ni lazima wawe wawili waweze kugusanisha vikojoleo vyao. Na wakiulizwa sababu ya wao kufanya hivyo watakuambia wanaume sio waaminifu lakini uhalisia ni kwamba wanafanya hivyo baada ya kuona wamekuwa na shimo zao na hii ndio sababu kubwa inayo pelekea wanawake kusagana ni ukubwa wa via vyao vya uzazi baada ya kuona mashine haziwatoshi lila mwanaume kwake ni kibamia hivyo njia pekee ya kukikabili hili ni kusagana.


Nb
Wanawake jichungeni kupigwa na mashine tofauti haimaanishi ni ujanja mnajiharibia wenyewe ila ndio hivyo hamsikii maana hamtaki kazi imefika mahali hata ukitaka bando njia pekee ni kutanua miguu ....haya kila laheliii kwenu
WE JAMAA ACHA KUTUCHOTA
INAMAANA WANAFUNZI WA SHULE ZA BORDING {GIRLS SCHOOLS) UNATAKA UTUAMINISHE KUWA
TAYARI WANA MASHIMO MAKUBWA??????????????
MAANA MICHEZO KAMA HIYO MARA NYINGI HUANZIA HUKO.
 
WE JAMAA ACHA KUTUCHOTA
INAMAANA WANAFUNZI WA SHULE ZA BORDING {GIRLS SCHOOLS) UNATAKA UTUAMINISHE KUWA
TAYARI WANA MASHIMO MAKUBWA??????????????
MAANA MICHEZO KAMA HIYO MARA NYINGI HUANZIA HUKO.
hao wamefanya ni njia mbadala ya kukidhi haja zao sio kwamba wanapenda ndio maana baada ya hapo wengi wao huacha na kuendeleza dushez. Ninaozungumzia ni hawa wa iyari
 
"Na wakiulizwa sababu ya wao kufanya hivyo watakuambia wanaume sio waaminifu lakini uhalisia ni kwamba wanafanya hivyo baada ya kuona wamekuwa na shimo zao na hii ndio sababu kubwa inayo pelekea wanawake kusagana ni ukubwa wa via vyao vy uzazi baada ya kuona mashine haziwatoshi lila mwanaume kwake ni kibamia hivyo njia pekee ya kukikabili hili ni kusagana"
Mleta mada, huu ni utafiti umefanya au umehadithiwa na Mtu?
Ebu tuambie Kwanza aliyekuwa nyuma ya harmonize ni nan?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Utafiti wako hauna uhalisia kwa kiasi fulani,mkuu.

Miaka kadhaa nilihamia sehemu Fulani. Demu wangu akaja kunitembelea akakaa kama wiki.Kuna tom boy wa pale mtaani akamwona ila hakujua kama ni Manzi yangu,akamletea pigo za kumsifia uzuri. "Cheupe mzuri sana " bibie anaitikia Asante,kumbe tom boy ana yake

Siku Moja Jioni hapo home kukawa na birthday party alafu Mimi ni mgeni Nina kama wiki mbili sijazoeana na mtu. Jamaa mmoja akanifata "oii mwana njoo tuchome mbuzi hapa nje,tunahitaji kampani yako Mzee!! Nikaona fresh Wacha nijichanganye ,nizoeane na watu pia. Tukatoka wote Mimi na "wife" tukaungana nao kuparty...mziki mkubwa !!

Wakati muziki ukiendelea,Yule demu tomboy nikaona kama analeta pigo za kumganda bibie ila sikutilia maanani.

Muda kidogo nikaona bibie karudi ndani bila kuniambia. Namfuata na kumuuliza kimetokea nini mbona ghafla kabadilika akaniambia yule demu aliyesuka Rasta analazimisha kunikula mate na kunishika maziwa na huku chini. Alafu ananiambia anaomba "akaninanii" atanipa Hela yoyote ninayoitaka eti amenipenda.

Nilishikwa na wivu uliochanganyika na hasira,nikataka nimfate ila wife akanishika mkono na kuniambia niache nisije kuharibu shughuli ya watu.

Kesho yake mapema tu nikamfata kwao mana tulikuwa majirani. Nikamchimba bonge la biti,akaomba msamaha akasema hakujua kama ni demu wangu eti!! Tangu siku hiyo nikiona wanawake kwa wanawake wanakuwa marafiki kupitiliza Tena mmoja awe na Rasta ,Huwa natilia shaka kidogo.
 
Utafiti wako hauna uhalisia kwa kiasi fulani,mkuu.

Miaka kadhaa nilihamia sehemu Fulani. Demu wangu akaja kunitembelea akakaa kama wiki.Kuna tom boy wa pale mtaani akamwona ila hakujua kama ni Manzi yangu,akamletea pigo za kumsifia uzuri. "Cheupe mzuri sana " bibie anaitikia Asante,kumbe tom boy ana yake

Siku Moja Jioni hapo home kukawa na birthday party alafu Mimi ni mgeni Nina kama wiki mbili sijazoeana na mtu. Jamaa mmoja akanifata "oii mwana njoo tuchome mbuzi hapa nje,tunahitaji kampani yako Mzee!! Nikaona fresh Wacha nijichanganye ,nizoeane na watu pia. Tukatoka wote Mimi na "wife" tukaungana nao kuparty...mziki mkubwa !!

Wakati muziki ukiendelea,Yule demu tomboy nikaona kama analeta pigo za kumganda bibie ila sikutilia maanani.

Muda kidogo nikaona bibie karudi ndani bila kuniambia. Namfuata na kumuuliza kimetokea nini mbona ghafla kabadilika akaniambia yule demu aliyesuka Rasta analazimisha kunikula mate na kunishika maziwa na huku chini. Alafu ananiambia anaomba "akaninanii" atanipa Hela yoyote ninayoitaka eti amenipenda.

Nilishikwa na wivu uliochanganyika na hasira,nikataka nimfate ila wife akanishika mkono na kuniambia niache nisije kuharibu shughuli ya watu.

Kesho yake mapema tu nikamfata kwao mana tulikuwa majirani. Nikamchimba bonge la biti,akaomba msamaha akasema hakujua kama ni demu wangu eti!! Tangu siku hiyo nikiona wanawake kwa wanawake wanakuwa marafiki kupitiliza Tena mmoja awe na Rasta ,Huwa natilia shaka kidogo.
Hadithi njoo uongo njoo utamu kolea
 
Utafiti wako hauna uhalisia kwa kiasi fulani,mkuu.

Miaka kadhaa nilihamia sehemu Fulani. Demu wangu akaja kunitembelea akakaa kama wiki.Kuna tom boy wa pale mtaani akamwona ila hakujua kama ni Manzi yangu,akamletea pigo za kumsifia uzuri. "Cheupe mzuri sana " bibie anaitikia Asante,kumbe tom boy ana yake

Siku Moja Jioni hapo home kukawa na birthday party alafu Mimi ni mgeni Nina kama wiki mbili sijazoeana na mtu. Jamaa mmoja akanifata "oii mwana njoo tuchome mbuzi hapa nje,tunahitaji kampani yako Mzee!! Nikaona fresh Wacha nijichanganye ,nizoeane na watu pia. Tukatoka wote Mimi na "wife" tukaungana nao kuparty...mziki mkubwa !!

Wakati muziki ukiendelea,Yule demu tomboy nikaona kama analeta pigo za kumganda bibie ila sikutilia maanani.

Muda kidogo nikaona bibie karudi ndani bila kuniambia. Namfuata na kumuuliza kimetokea nini mbona ghafla kabadilika akaniambia yule demu aliyesuka Rasta analazimisha kunikula mate na kunishika maziwa na huku chini. Alafu ananiambia anaomba "akaninanii" atanipa Hela yoyote ninayoitaka eti amenipenda.

Nilishikwa na wivu uliochanganyika na hasira,nikataka nimfate ila wife akanishika mkono na kuniambia niache nisije kuharibu shughuli ya watu.

Kesho yake mapema tu nikamfata kwao mana tulikuwa majirani. Nikamchimba bonge la biti,akaomba msamaha akasema hakujua kama ni demu wangu eti!! Tangu siku hiyo nikiona wanawake kwa wanawake wanakuwa marafiki kupitiliza Tena mmoja awe na Rasta ,Huwa natilia shaka kidogo.
Duh
 
Back
Top Bottom