Vituko nilivyowahi kuviona kwenye sahili (interviews) vya kukatisha tamaa

Vituko nilivyowahi kuviona kwenye sahili (interviews) vya kukatisha tamaa

Ngum sanaa.

Kuna interview flan pale pale Duce ilikua na maswali 50 ya multiple choice kila swali marks 2% yamekuja matokeo nina 35% 😂😂😂😂😂 nilistaajab sanaaa how come napata 35% na si 34% au 36%
🤣🤣kuna chaguo ulipata nusu 🤣🤣,hawatumii hata akili kudanganya.
 
Ni wiki Tatu zilizopita niliitwa kwenye Interview KCB BANK MAKAO MAKUU DAR nafasi ya CORPORATE AFFAIRS MANAGER,kufika pale tupo Wasailiwa 12 na mmoja yeye anafanyia Usaili akiwa Mwanza(huyu ni staff wa KCB BANK MWANZA)!!![emoji1787]na katika 11 tulio Dar Wasailiwa wawili nao wadada ni wa palepale ndani KCB BANK Maka Makuu[emoji1787]Usaili tuliambiwa saa 8 mchana lakini ukaanza saa 10 jioni(ilikuwa ni Written Interview).Yaani tangu tumefika pale wale wadada(wa HR na Head wa Communications)wakawa wanajizungushazungusha weeee nikajua tu hapa USANII unachezwa!!!kuja kuleta hiko ki-swali Chao chenyewe eti (I)WHAT IS EVENT PLANNING??(II)PROCEDURES ZA EVENT PLANNING(III) EXPLAIN SHORTY ON THOSE PROCEDUCES OF EVENT PLANNING??
yaani ni ki-swali ambacho nilikijibu ndani ya dakika 10 japo wao walisema dakika 30!!!juzi napokea Email kutoka kwa huyo Dada HR anaitwa MONDE LUSHAKO eti nilipata below PASS MARK hivyo sijachaguliwa kwa Oral nilicheka mpaka nikapaliwa na Wine yangu!! [emoji1787][emoji1787] yaani ni wasanii walikuwa na mtu wao wahuni wale[emoji1787][emoji1787]na mimi nina uhakika kile ki-swali chao nilikipata chote 100 kwa 100!!nilimjibu kwenye Email yake kwamba WAMUOGOPE MUNGU na waache tabia ya kusumbua watu waje kwenye Interview wakati nafasi tayari wana mtu wao!!!hebu imagine wengine mpo Dar mnafanya Interview na mwingine(staff wa ndani KCB Bank humohumo) anafanyia Usaili akiwa Mwanza peke yake [emoji1787][emoji1787]na kwa tuliofanyia Dar tulifanya pia na wadada wawili wa palepale KCB BANK tena wakiwa na Uniform za KCB [emoji1787][emoji1787]Nchi ngumu sana hii
Teh teh teh teh 🤣 🤣🤣 umenivunja mbavu mkuu haaa haaa 😄😄😄
 
Ni wiki Tatu zilizopita niliitwa kwenye Interview KCB BANK MAKAO MAKUU DAR nafasi ya CORPORATE AFFAIRS MANAGER,kufika pale tupo Wasailiwa 12 na mmoja yeye anafanyia Usaili akiwa Mwanza(huyu ni staff wa KCB BANK MWANZA)!!![emoji1787]na katika 11 tulio Dar Wasailiwa wawili nao wadada ni wa palepale ndani KCB BANK Maka Makuu[emoji1787]Usaili tuliambiwa saa 8 mchana lakini ukaanza saa 10 jioni(ilikuwa ni Written Interview).Yaani tangu tumefika pale wale wadada(wa HR na Head wa Communications)wakawa wanajizungushazungusha weeee nikajua tu hapa USANII unachezwa!!!kuja kuleta hiko ki-swali Chao chenyewe eti (I)WHAT IS EVENT PLANNING??(II)PROCEDURES ZA EVENT PLANNING(III) EXPLAIN SHORTY ON THOSE PROCEDUCES OF EVENT PLANNING??
yaani ni ki-swali ambacho nilikijibu ndani ya dakika 10 japo wao walisema dakika 30!!!juzi napokea Email kutoka kwa huyo Dada HR anaitwa MONDE LUSHAKO eti nilipata below PASS MARK hivyo sijachaguliwa kwa Oral nilicheka mpaka nikapaliwa na Wine yangu!! [emoji1787][emoji1787] yaani ni wasanii walikuwa na mtu wao wahuni wale[emoji1787][emoji1787]na mimi nina uhakika kile ki-swali chao nilikipata chote 100 kwa 100!!nilimjibu kwenye Email yake kwamba WAMUOGOPE MUNGU na waache tabia ya kusumbua watu waje kwenye Interview wakati nafasi tayari wana mtu wao!!!hebu imagine wengine mpo Dar mnafanya Interview na mwingine(staff wa ndani KCB Bank humohumo) anafanyia Usaili akiwa Mwanza peke yake [emoji1787][emoji1787]na kwa tuliofanyia Dar tulifanya pia na wadada wawili wa palepale KCB BANK tena wakiwa na Uniform za KCB [emoji1787][emoji1787]Nchi ngumu sana hii
🤣🤣🤣Kuna mambo yanachekesha kama mazuri vile.🤣🤣🤣
 
2008 kuna jamaa tulikutana kwenye usaili wa JKT . Dogo kwa muonekano alitokea familia flani ivi duni afu za kidini sana mana alikuwa mnyenyekevu mpaka anaboa . Mimi tayari uhakika wa kupita ulikuwepo japo sikupenda kuwa mjeshi hivyo nilifata maelekezo tu.

Basi dogo umefika muda wakuhojiwa akatumwa sigara ile anarudi anaambiwa kachelewa dogo alilia mpaka makamasi kumbe ashaliwa pesa kibao toka wilayani then mkoani anakaziwa kijinga afu bosi mmoja akamwambia amepunguwa urefu fut3 wakati toka mwanzo ashapimwa na akapita. Dah! Ile hali ilinigusa sana nikajaribu kumshauri na kumpa moyo ndo akanambia kuwa mama yake kawekeza Sana ili ye aende jeshi mpaka kauza baadhi ya vitu vyake kuweka mazingira sawa. Basi nilichokifanya nikaongea na wakubwa walotamani niende jeshi kuwa me sivutiwi kwenda jeshi ila nafasi yangu kuna mtoto wamsaidie, basi wakanielewa wakampitisha ,aisee dogo hajaniangusha kapambana mpaka akapata nafasi na leo ni miongoni mwa connection zangu zinazonifanya nivimbe mjini apa.

My point : kama ipo ipo tu msikate tamaa ukiona umekosa ujue sio liziki yako ila kama ni liziki yako itakuja kwa njia yyt ile
ulifanya jambo jema sana ubarikiwe.
 
Wew unajijua kabisa unakwenda kweny hayo mainterview sjui maupuuzi gan alafu unaanza kujitayarisha as if umeshapata confirmation ya ajira kumbe hata usahili hujafanya[emoji23][emoji23].

Kilichokuuma ni ile furaha uliyoitanguliza badala ya uhalisia wa kuwa ungeenda huko kwenye ushindani wa kukosa ama kupata

Connection zipo muda wote na kila siku humu tunawakumbusha kama huna haya mambo
[emoji117]connection
[emoji117]uchawi
[emoji117]pesa ya rushwa

Basi kutoboa kwenye hizo ishu SAHAU yaan kiufupi fanya ishu zingine[emoji23]
Inaonekana Kama wewe Ni mdau unayeendesha usaili kwenye hizi taasisi zetu. Yaani mmoja wa wafaidika wa haya mambo.
 
Kwenye usaili wa Oral, msaili anajifanya kupitia pitia makaratasi fulani halafu akaniuliza kama nipo tayari kufanya kazi kwa ufasaha kwenye kampuni yao nikaitikia kwa kujiamini na uchangamfu wa hali ya juu, akasema kazi nimepata ila nikitoka niende moja kwa moja Peacock Hotel nimsubiri hapo atanipa maelekezo zaidi akifika, lol sijui aliniona Mtoto (enzi hizo nilikua bado binti), nikamuitikia kwa tabasamu la unafki, nikatoka na hasira zangu hadi nyumbani nikamuhadithia Mume wangu yaliyonikuta hiyo ndio ilikua interview yangu ya mwisho, mpaka leo nimejiajiri na kuajiri wengine alhamdulillah.
 
P
Miaka 10 iliyopita nilifanya interview TANROAD Kili, baada ya interview one of the panelist alinijulisha kwa simu kuwa nimepita lakini ningepigiwa simu na wahusika ili uje uanze kazi.

Nilivyokuja kufuatilia nikaambiwa kuna vidada vilikuwa field 3 yrs pale ndio wamechukuliwa na infact tulikuwa nao siku ya interview.
Walishaliwa siku nyingi sana. Is
 
ile tumemaliza chuo tu mimi na mwanangu milandu tukapewa mchongo na sista..sista yeye kasoma masomo ya ras simba tu mixer na vyuo vya mtaani..sisi tuna gamba, NGO ipo mikocheni ..kuna engineer pale ndo kampa mchongo..sista hakua hata na cv tukasema tumchoree cv fastaa asbuhi ya kuzugia,maana sisi zetu zipo zimeshiba.. tumeingia tumepiga sana yai baba..hahaha jioni me na mwanangu tumekalia kuti kavu sista huyo kapita kisa kuna engineer panelist kamuelewa.
Hahahaha interview kunakuwaga na ufala sana
 
Mmoja wa delinquent member wa JF ni wewe, soma tena uelewe wapi nimeandika hayo uliyoyaandika?,mpumbavu na I can't help labda ungekua mjinga ningekuelewesha,uchunguzi wa tigo ni mmoja ya vigezo kabla hujapita kuwa jet fighter pilot cadet
Mkuu mbona umekuwa mkali wakati umesema mwenyewe umeliwa tigo na wachina kwenye usaili?
 
Back
Top Bottom