[HASHTAG]#FARUJONN[/HASHTAG]
Tourism: Tourism ilikuwa njia rahisi nchi kupata forex nyingi sana
Matokeo yake serikali imeshindwa kuchochea ukuaji wa utalii
A - Matangazo mengi (adverts)
B- Landing fee na Jet fuel kupunguza bei ili ndege nyingi zije direct Tanzania na bei za ticket zitapungua
Kununua ndege pekee haitoshi....Bado ATCL italipa landing fee na bado bei ya mafuta ni juu, ATCL hawataweza kutoa cheap tickets
C - VAT za ghafla (Destination inakuwa ghali sana) na wakati bado miundo mbinu ni duni..Why?
D - Kuboresha sehemu na makazi ya watalii matajiri--- bado
Tourism: Tourism ilikuwa njia rahisi nchi kupata forex nyingi sana
Matokeo yake serikali imeshindwa kuchochea ukuaji wa utalii
A - Matangazo mengi (adverts)
B- Landing fee na Jet fuel kupunguza bei ili ndege nyingi zije direct Tanzania na bei za ticket zitapungua
Kununua ndege pekee haitoshi....Bado ATCL italipa landing fee na bado bei ya mafuta ni juu, ATCL hawataweza kutoa cheap tickets
C - VAT za ghafla (Destination inakuwa ghali sana) na wakati bado miundo mbinu ni duni..Why?
D - Kuboresha sehemu na makazi ya watalii matajiri--- bado