Kwanini nisijipe umuhimu hata pesa zangu zina umuhimu vilevile kama mwanamke hataki mtu mwenye malengo basi kala hasara hana tofauti na malayaHii ni kauli ya kujipa umuhimu, we unajuaje huyo mwanamke anataka mtu mwenye malengo?
ThibitishaSio wao ni wewe
Kama ni hivyo kwa lugha nyepesi huyo anajiuzaUnadhani mtu wa hivyo anakua hajui anachokifanya? Na yeye unakuta hana uhitaji wa mtu mwenye malengo so anaona ni kheri apate chake mapema.
Hiki kitu ndio huwa nakisema humu karibu kila siku haya yote tunayoyaona ya wanawake kuonekana kama wanataka ndoa na watoto, ni kwa sababu tu ya pressure kutoka kwa jamii inayowazunguka na si kwamba wengi wao deep down wanahitaji kuolewa au kuzaa, unfortunately ukiongea haya mbele ya watu wenye akili ndogo wanakimbilia kukuita feminist na wanalazimisha kabisa kwamba kila mwanamke duniani ndoto yake kubwa ni kuwa na mume na watoto tuYeye mwenyewe kazungukwa na jamii inayomfanya ajione mnyonge, ndiyo maana hata kaona jambo hilo si la kawaida na linahitaji kuomba ushauri.
Mwanamke akiwa hana bwana watu wanampa pressure bwana wako nani? Akiwa na bwana watu wanampa pressure, anakuoa lini? Akiolewa anapewa pressure, utazaa lini? Akizaa anapewa pressure mtoto wa pili lini? Mtoto anatakiwa kuwa na mwenzake, asiwe peke yake, wa pili utazaa lini? It is ridiculous.
Yani tumemfanya mwanamke ambaye hana mtoto wala mahusiano awe mtu wa ajabu sana, wakati hayo nayo ni maisha tu.
Ni ujinga wa kulazimishana wote tuishi sawa wakati hatuko sawa.Hiki kitu ndio huwa nakisema humu karibu kila siku haya yote tunayoyaona ya wanawake kuonekana kama wanataka ndoa na watoto, ni kwa sababu tu ya pressure kutoka kwa jamii inayowazunguka na si kwamba wengi wao deep down wanahitaji kuolewa au kuzaa, unfortunately ukiongea haya mbele ya watu wenye akili ndogo wanakimbilia kukuita feminist na wanalazimisha kabisa kwamba kila mwanamke duniani ndoto yake kubwa ni kuwa na mume na watoto
ukiwa mjinga utawalaumu wanawake na kuwaonea huruma ili hali wewe ndo mwenye uwezo wa kumwacha sasa unaposema watakosa wa kuwaoa nani kakuambia wanakosa unaweza nipa asilimia ngapi ya wanawake wanaokosa wa kuwaoa kisa vizinga?Thibitisha
Huu ni ukweli wa lazima kabisa. Mwanamke masikini ni tatizo kubwa kwa ustawi wa mwanaume.Usitafute mwanamke masikini wa mali na akili.
Kuwa na standards.
Vinginevyo, haya ni matatizo ya kujitakia.
That is not for them to reckonNi ujinga wa kulazimishana wote tuishi sawa wakati hatuko sawa.
Tutalazimishana vipi tuishi sawa wakati hatupo sawa?
Wapi nimeandika kuendekeza ngono ndo namna ya kumpata mtu wa kumoa na nan amekwambia tuna walaumu wanawake na kuwaonea huruma ndo mana tunashindwa kuwaacha naona unajikoroga tu mwenyeweukiwa mjinga utawalaumu wanawake na kuwaonea huruma ili hali wewe ndo mwenye uwezo wa kumwacha sasa unaposema watakosa wa kuwaoa nani kakuambia wanakosa unaweza nipa asilimia ngapi ya wanawake wanaokosa wa kuwaoa kisa vizinga?
Ukiona tabia flani huimudu kwa mwanamke pita pembeni acheni huruma ya kijinga mnaendekeza ngono mkifikiri ndio namna ya kupata mtu wa kuoa, mwanamke kashakusoma kaona una upwiru auna maono ya ndoa, akufanyie nini cha ziada
🤣🤣🤣Mbavu zangu🤣😃😃, nita rejea kujibu mapigo.
👉Haiwezekani Ivan Stepanov Ani chafue jimboni kwako😝
🤣🤣🤣AsanteeeeKakuuliza ,unapenda mashangazi? Mbona unaruka ruka vitu vya msingi unakimbia kimbia??
Tayana-wog Naomba nimjibie, huyu dogo anapenda mashangazi ila sio wale vimbau mbau ..Mashangazi yanakua na nyama nyama, wale wembamba wanaitwa vishangazi
Makes senseUsitafute mwanamke masikini wa mali na akili.
Kuwa na standards.
Vinginevyo, haya ni matatizo ya kujitakia.
🤣🤣🤣🤣Ila weweMkubwa taratibu basi 😃🤣, kabla ya mwenda mbali.
👉Je una mwanasheria 😁, maana Tayana-wog Aki sema nipokee upako.
👉Basi kazi unayo🤣
sasa unapinga nini?Wapi nimeandika kuendekeza ngono ndo namna ya kumpata mtu wa kumoa na nan amekwambia tuna walaumu wanawake na kuwaonea huruma ndo mana tunashindwa kuwaacha naona unajikoroga tu mwenyewe
Vingine sio tabia nikujiendekeza na tamaa zisizo za msingi narudia hakuna mwanaume atakayehitaji kujenga maisha na mwanamke kausha damu huu ni ushaur wa bure tunawapa
Hela ya matajiri haitoki hovyo. Wajinga wajinga na wanaopta hela za kipigaji ndio wanatoa hovyo.Ila tajiri mwenzangu ananiangusha sana, tajiri ukiombwa laki Saba unatuma 7 na nusu na ya kutolea...😁😁😁
Basi mngekuwa mnaolewa na machiziHii ni kauli ya kujipa umuhimu, we unajuaje huyo mwanamke anataka mtu mwenye malengo?
Ha haaa na asilimia kubwa ya hao wapigaji ndio matajiri wenyeweHela ya matajiri haitoki hovyo. Wajinga wajinga na wanaopta hela za kipigaji ndio wanatoa hovyo.