Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
π―π―π―π―π―Usitafute mwanamke masikini wa mali na akili.
Kuwa na standards.
Vinginevyo, haya ni matatizo ya kujitakia.
We ni chui katika ngoz ya kondoo ni suala la muda tu utamla mchungajiNiokoe kondoo Mimi, nita tulia tuhubiri neno ππ
Wamamq wa hivi leo hawapo, mitoto ndio maana inaharibikaπWata isoma nambaππ€£π€
View attachment 2872399
Nataka niwe baba mchungaji, the one and only ππ€Aah we mbona hujaamuaπ tu
Ni suala la kumkiri Yesu kuwa Bwana na mwokozi wako binafsi
Amua leo
Humu Humu jf au ππ€£π€ππππ bora hata wewe ilikua 150,000/=.
Mimi nilipoga u-turn nilipopigwa kizinga cha elfu 10 tuu...imagine..sasa 150k si ndio ningepagawa
Utajiri bila utawala mzuri wa fedha ni kuutafuta umasikiniSasa kama mwenyewe unajiita TAJIRI MKUU WA MATAJIRI ulitegemea nini mkuu
Mbona kuwa mchungaji sio suala la kutaka ndugu yangu πNataka niwe baba mchungaji, the one and only ππ€
Acha roho mbaya basiππππ bora hata wewe ilikua 150,000/=.
Mimi nilipoga u-turn nilipopigwa kizinga cha elfu 10 tuu...imagine..sasa 150k si ndio ningepagawa
Hapana sio humu..humu sina personal ties mdogo angu..tunaojuana humu ni ki proffesional zaidi na ule ushkaji smartHumu Humu jf au ππ€£π€
Hamna tajiri asiyeithamini shilingi kumi yakeKwani wewe si TAJIRI MKUU WA MATAJIRI πππππ
Kinachokuuma nini hapo
We mrusi wa mchongo tulia π€£π, nataka nitulie niokoke na Tayana-wog π€π€πWe ni chui katika ngoz ya kondoo ni suala la muda tu utamla mchungaji
Usi jifanye huelewiπ, nataka tuunde msingi imara ππ.Mbona kuwa mchungaji sio suala la kutaka ndugu yangu π
Ni wito km hujaitiwa huko huwezi survive
Dah niko nachora start up biz 1 hivi, ngoja niki Anza kuona profit.Hapana sio humu..humu sina personal ties mdogo angu..tunaojuana humu ni ki proffesional zaidi na ule ushkaji smart
Mzeya nina bodaboda hapa njoo nikuoe upige kazi maana unanifurahisha na nondo zakoNawaambiaga kila siku haya mambo. Wanawake ni makahaba wanachotofautina ni kuna ambao wapo directly na wengine indirectly. Tatizo binadamu wanapenda kusikia yanayowafurahisha tu
Labda asiwe maskini wa akili, inawezekana. Lakini asiwe maskini wa mali na hali wewe ni maskini, hapo mtihani.Usitafute mwanamke masikini wa mali na akili.
Kuwa na standards.
Vinginevyo, haya ni matatizo ya kujitakia.
WakristoZipi zinaongoza talaka
Do that please uniokote huku jalalaniDah niko nachora start up biz 1 hivi, ngoja niki Anza kuona profit.
πNita share na wadau wangu wa faida πͺ