Vodacom wamefungia line yangu ikiwa na milioni 10 kwenye M-PESA

Mbona dili hilo washtaki hao wapuuzi
 
Haya mambo kumbe bado yapo lakini mimi kwa ufahamu wangu ukiangalia ile chati ya makato mwisho wa kuweka pesa ni mil 5
Lakini hata hivyo maelezo ya mtoa mada yamenitia hofu Sana kuweka pesa mpesa naona sio salama kabisa ni jambo la kushangaza kampuni kubwa kama voda wanaoingiza faida za mabilioni wakubali kampuni yako ipate sifa mbaya kwa kesi ya kuiba mil 10 ya mteja
 
Hizo danadana bila kufungua kesi utapata tabu saana
 
Mzee mnachezea hela jombaa c ukae na mwanasheria uwanyookeee.
 
Mimi juzi waliifungia yangu siku 3 wakaifungua wenyewe bill kuhangaika😅😅ilikuwa na laki 6 halafu sikusajili kwa kitambulisho changu.roho iliniuma kichizi😅wakaifungua wenyewe.sijui wanashida gani Hawa jamaa
 
Washanipigaga elfu ,60 yangu kipindi hicho nipo first year ndo najifunza funza kutunza ela nikasahau namba ya Siri fatilia adi voda shop lakini wapi mpaka kesho sithubutu kuacha laki Mpesa,
 
Sasa kama ipo wanashindwa vipi kuitoa au kuihamisha kwenda namba nyingine wakati wao ndio wenye hiyo system.....huu uhuni huu unafanyiwa
Mkuu hiyo huwa inawezekana lakini inahitaji escalation kubwa sana, ingekua rahisi hivyo watu wangekua wanalia kila siku
 
Kaka, hiyo ya mil5 ilifutwa baada ya kuibuka COVID sasahivi ni 10m
 
Kuweka hela nyingi kwenye cmu ni risk sana,mm nishapoteza 600k kwenye Airtel money kipindi kile wanaofa ya hakatwi mtu.nilienda Sana makao makuu yao ila ckupata msaada wowote kila cku ilikuwa sound tu nikaona napoteza muda
 
Mimi juzi waliifungia yangu siku 3 wakaifungua wenyewe bill kuhangaika😅😅ilikuwa na laki 6 halafu sikusajili kwa kitambulisho changu.roho iliniuma kichizi😅wakaifungua wenyewe.sijui wanashida gani Hawa jamaa
Na hujatoa hela hadi leo??? watanzania bhana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…