hii ni sifa ya mtu,kama anayo anapewa.wewe unayo.
hii ndio point ya mleta mada,matokeo ya uchaguzi sio oda ya pombe kali unayoagiza kwamba ikichelewa hakuna shida,sijui hata unajua vihatarishi vya kiusalama wewe,au umesshashiba hapo unasinzia tu.
swala la kuhoji au kutohoji liangaliwe kuliko usalama na amani ya nchi!!!!hivi una akili timamu wewe??
wamejaza wote na kila mtu kafanya lililo haki yake,kwanini machafuko kizembe mwishoni!!!au akili zako fupi hazioni hatari hiyo???kuku kabisa wewe.
ndio maana nikasema wewe ni birika bovu,sasa ubora wa kenya kwenye uchaguzi hatua hizo za awali unahalalisha ucheleweshaji wa matokeo????