Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
[emoji2][emoji2][emoji2]Chama cha baba yangu na mama yangu i love u ccm Mwaaa !!! hiii ni ya kwetu wenyewe tumeipenda wenyew wacha ituue potelea pwetee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji2][emoji2][emoji2]Chama cha baba yangu na mama yangu i love u ccm Mwaaa !!! hiii ni ya kwetu wenyewe tumeipenda wenyew wacha ituue potelea pwetee
Ndiyo hivyo Mungu anazidi kuwaumbua wanafikiMpaka nimeogopa
Tena wengine wangefuatisha ushauri wa musibaSafiiiiiiiii wacha yauane tu
Nimefurahi sana kwa hawa watu kutwanganaUtaanzaje kuwakamata wenye polisi yao?. Pigana wewe usiefahamika hadharani, kama hatujakuokota mochwari [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wangevunjana hata vichwa vyaoHali ilivyokuwa Dodoma Julai 17 2020 wakati wa kuchukua fomu za udiwani kupitia CCM, mbwembwe za watia nia wa CCM
Daah hata mimi nimemsimkiaDah..jamaa anasikika akisema ETI YEYE SIO MPINZANI hivyo polisi wasimnyanyase
18 Aug 2020
Dodoma, Tanzania
WanaCCM waandamana kupinga maamuzi
Vurugu zinaendelea katika ofisi za CCM Wilaya ya Dodoma mjini baada ya kupokea majina ya wagombea udiwani ambao wamekatwa licha ya kuongoza.
Jana halmashauri ya CCM mkoa wa Dodoma walirudisha majina ya madiwani waliogombea kupitia chama hicho ambapo kata 7 Kati ya 41 za jiji la Dodoma walioongoza walikatwa na kurudishwa wengine ndipo wakaandamana ofisi za wilaya.
Mmoja wa diwani aliyeshinda CCM lakini jina lake lililokatwa amewaomba wanaCCM wa kata ya Changombe kuwa watulivu wasifanye maandamano wasubiri maamuzi ya Halmshauri ya wilaya CCM watakapotafuta ufumbuzi wa sintofahamu hiyo ndani ya CCM .
Source : Mwananchi digital
Yaacheni yauwane , yanafuata form ya nn kwani si chadema washachukua?Vurugu kubwa zimeibuka leo 18 August 2020 hapa ofisi za ccm wilaya ya dodoma opposite na white House makao makuu ya ccm Taifa,wafuasi watch toka kata ya changombe walimvamia katibu wa wilaya na kumpa kichapo Hali iliyopelekea police kuwahi kuwatuliza wafuasi hao inadaiwa walienda kumsindikiza kada wao Juma masugu inaedaiwa jina lake limerudi kugombea udiwani wa changombe,na aliwakusanya wafuasi wake wengi waende kumescort kufika ofsin wakakuta jina la Bakari fundikira aliyeongoza kura za maoni kwa kutumia wajumbe mamluki wanavyosemaga wao maccm,bw Masugu anadai Katibu alimpigia simu Jana na kumwambia jina limerudi ila ampe million moja kwanza sijui ilikuwa ya nini pia inasemekana bw fundikira alivyoona chama kata hakimtaki alimpigia simu Katibu mkuu Bashiru baada ya kuongea nae jina lake likarudi na ndo ugomvi ukaibuka leo ofisin na kusababisha kupigwa vibaya Sana katibu wa ccm wilaya bila police kuwahi huenda angefariki,mpaka mda huu vijana wa ccm na wafuasi wao ma bodaboda wametapakaa hapa nje ya ofisi na baadhi ya wafanyabiashara wameanza kufunga maduka yao,police inaonekana wanaogopa wanapata kigugumizi kuwamwagia maji ya washawasha hao wahuni wa ccm kuwatawanya
Kwahio CCM wanadhihirisha kuwanyanyasa Upinzani kwa kutumia Police? The beginning of the end...Dah..jamaa anasikika akisema ETI YEYE SIO MPINZANI hivyo polisi wasimnyanyase
Halafu lilimtoka naturallyKwahio CCM wanadhihirisha kuwanyanyasa Upinzani kwa kutumia Police? The beginning of the end...
Mpaka nimeogopa
Hapo muroto hana cha kufanya maana hapo ndiyo makao makuu ya chama
Hao ndiyo maana huwaga mpaka wanaroganaHivi kuna nini CCM wameambiwa wasiwe na tamaa ya uongozi, lakini wameshindwa uvumilivu wa mchakato wa kisiasa wa kuteua wagombea ngazi ya kwenda kugombea udiwani hadi wanashikana mashati
Thubuutuuuuuu, murotoo atakuwa anawachungulia tu dirishaniKipigo cha MBWA KOKO wao hakiwahusu?