Farolito
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 12,001
- 27,175
Yaani hiyo kauli imenifikirisha na kunisikitisha sana,ina maana Polisi huwa wanafanya makusudi kabisa walishirikiana na CCM kuwaonea wapinzaniDah..jamaa anasikika akisema ETI YEYE SIO MPINZANI hivyo polisi wasimnyanyase