Uchaguzi 2020 Vurugu zatawala ofisi za CCM Dodoma baada ya walioshinda kura za maoni Udiwani kukatwa

Yaani hiki ulichohara hapo na video iliopo ni vitu million 2 tofauti 🚮🚮🚮🚮
 
Jamaa linasema

"Eti kwanini utumie dola,mimi sio mpinzani"

Ina maanawanawafanyia makusudi na ni maelekezo kutoka chama chao bumbafu.
Umeonaeeeee? Yaani hii mijamaa ni zaidi ya nyoka mwenye sumu kali kwa upinzani
 
Wanaruka na kukanyagana!
Kwa Sugu mbona salitumia nguvu kubwa?
Hiyo laana haiwaachi ccm asilani.
 
Ccm kifo cha mende arafu anaibuka mjinga eti ccm imeimalika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…