Uchaguzi 2020 Vurugu zatawala ofisi za CCM Dodoma baada ya walioshinda kura za maoni Udiwani kukatwa

Walipuane kabsa
 
Dah..jamaa anasikika akisema ETI YEYE SIO MPINZANI hivyo polisi wasimnyanyase
Yaani nchi hii imekuwa ya kipumbavu sana ina maana wanapigwa ni wapinzani tu? Na Polisi wanafanya kosa la kipumbavu kujishikamanisha na CCM. Yaani leo huyo angekuwa mpinzani angevunjwavunjwa! Pumbavu kabisa hili jeshi!
 
Vurugu zimeibuka katika ofisi za CCM Wilaya ya Dodoma baada ya makada wa CCM wanaodai majina ya wagombea udiwani yaliyopitishwa yamebadilishwa bila sababu za msingi katika baadhi ya kata za Wilaya ya hiyo kuweka kambi katika ofisi hizo.

Vurugu zilizotokea katika ofisi za CCM Wilaya ya Dodoma zimesababisha askari kuwasili kwa ajili ya kulinda usalama katika ofisi hizo na kuzuia vurugu kufuatia malalamiko ya kubadilishwa kwa mgombea udiwani aliyetangazwa.

Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.
 
Na bado. Subiri ngazi ya wabunge. Waliotuma barua mpk kwenye mitandao wakikatwa watatuma barua UN.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…