Uchaguzi 2020 Vurugu zatawala ofisi za CCM Dodoma baada ya walioshinda kura za maoni Udiwani kukatwa

Uchaguzi 2020 Vurugu zatawala ofisi za CCM Dodoma baada ya walioshinda kura za maoni Udiwani kukatwa

17 Julai 2020
Kata ya Madukani
Dodoma mjini
Tanzania

Hali ilivyokuwa Dodoma Julai 17 2020 wakati wa kuchukua fomu za udiwani kupitia CCM, mbwembwe za watia nia wa CCM kata ya Madukani yenye Makao Makuu ya CCM lakini kata hiyo ya Madukani ilikuwa chini ya diwani wa CHADEMA 2015-2020 hivi wanachama wa CCM wanataka Oktoba 2020 kata ya Madukani Dodoma mjini irudi CCM.


Ahhhahha,CHADEMA noma sana aisee
Yaani makao makuuu ya CCM yapo chini ya utawala wa CHADEMA,ahhahaha
Shikamooo CHADEMA
 
18 Aug 2020
Dodoma, Tanzania

WanaCCM waandamana kupinga maamuzi



Vurugu zinaendelea leo 18 agosti 2020 katika ofisi za CCM Wilaya ya Dodoma mjini baada ya kupokea majina ya wagombea udiwani ambao wamekatwa licha ya kuongoza.

Jana halmashauri ya CCM mkoa wa Dodoma walirudisha majina ya madiwani waliogombea kupitia chama hicho ambapo kata 7 Kati ya 41 za jiji la Dodoma walioongoza walikatwa na kurudishwa wengine ndipo wakaandamana ofisi za wilaya.

Mmoja wa diwani aliyeshinda CCM lakini jina lake lililokatwa amewaomba wanaCCM wa kata ya Changombe kuwa watulivu wasifanye maandamano wasubiri maamuzi ya Halmshauri ya wilaya CCM watakapotafuta ufumbuzi wa sintofahamu hiyo ndani ya CCM .

Chanzo: Mwananchi digital
 

Attachments

  • VID-20200818-WA0023.mp4
    13.5 MB
MUNGU WA RAISI WETU naomba diwani wa kata ya IKUTI RUNGWE asipite.

Miaka 15 bila chochote kipya alicholeta kipya kimaendeleo kata ya ikuti inatosha.
 
Tuache kukuza mambo hivi ni vitu vidogo sana, viko ndani ya uwezo ccm ni chama Kubwa hali itakuwa shwari hivi punde
 
Si umeona watoto wa baba mwenye nyumba wanavyo bembelezwa kupanda kwenye karandinga? Hapo kama ingekuwa watoto wa kambo ungeona mtaa mzima umejaa FFU na mirindimo ya mabomu na wengine kuvunjwa viuno kama sio mikono.
Hakika ni mambo ya aibu sana. Ila ni jambo la muda tu yana mwisho wake na wao wataanza kuonja machungu tunayo pambana nayo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
18 Aug 2020
Dodoma, Tanzania

WanaCCM waandamana kupinga maamuzi



Vurugu zinaendelea leo 18 agosti 2020 katika ofisi za CCM Wilaya ya Dodoma mjini baada ya kupokea majina ya wagombea udiwani ambao wamekatwa licha ya kuongoza.

Jana halmashauri ya CCM mkoa wa Dodoma walirudisha majina ya madiwani waliogombea kupitia chama hicho ambapo kata 7 Kati ya 41 za jiji la Dodoma walioongoza walikatwa na kurudishwa wengine ndipo wakaandamana ofisi za wilaya.

Mmoja wa diwani aliyeshinda CCM lakini jina lake lililokatwa amewaomba wanaCCM wa kata ya Changombe kuwa watulivu wasifanye maandamano wasubiri maamuzi ya Halmshauri ya wilaya CCM watakapotafuta ufumbuzi wa sintofahamu hiyo ndani ya CCM .

Chanzo: Mwananchi digital

Afande ndio kawa msemaji wa chama. Baada yakuwahutubia waandamanaji ametoa amri ya watu kutawanyika. Waandamanaji nao wamegoma kuondoka, hatuondoki mpaka tumsikilize mgombea anasemaje? Afande anakaa pembeni anampisha mgombea aongee na waandamanaji.
Huku mwingine anagoma kupanda kwenye karandinga, polisi wanam'bembeleza kama bwana harusi, na kwa majigambo anasema "mimi sio mpinzani kwa nini umeniletea dola".
 
18 Aug 2020
Dodoma, Tanzania

WanaCCM waandamana kupinga maamuzi



Vurugu zinaendelea leo 18 agosti 2020 katika ofisi za CCM Wilaya ya Dodoma mjini baada ya kupokea majina ya wagombea udiwani ambao wamekatwa licha ya kuongoza.

Jana halmashauri ya CCM mkoa wa Dodoma walirudisha majina ya madiwani waliogombea kupitia chama hicho ambapo kata 7 Kati ya 41 za jiji la Dodoma walioongoza walikatwa na kurudishwa wengine ndipo wakaandamana ofisi za wilaya.

Mmoja wa diwani aliyeshinda CCM lakini jina lake lililokatwa amewaomba wanaCCM wa kata ya Changombe kuwa watulivu wasifanye maandamano wasubiri maamuzi ya Halmshauri ya wilaya CCM watakapotafuta ufumbuzi wa sintofahamu hiyo ndani ya CCM .

Chanzo: Mwananchi digital

MGOMBEA ALIA NA CHAMA BAADA YA KUSHINDA NA KUKATWA
Mshindi wa pili katika kura za wajumbe abaki na mshangao taratibu za maamuzi kupingana wakati aliletewa taarifa za kuteuliwa rasmi kuwakilisha CCM


18 Julai 2020
Dodoma
CCM WAGOMBANA,POLISI WAINGILIA KATI
Wanachama Dodoma wilaya kata ya Ipagala, Nziguni, Kizota watilia shaka maelezo kuwa hiyo ni taarifa toka juu kuwa washindi wa kura za juu ndiyo wepewe uteuzi kuwakilisha CCM inapingana na maamuzi ya vikao vya Halmashauri ya wilaya ya Dodoma

Maccm kila siku wanatuambia tujiajiri tuache uvivu sasa wanalilia nini siwakajiajiri
 
Pimbi mkuu muroto kushindwa kuwapigisha kipogo cha mbwa koko au cha kuchakaa huo ni mwanzo mwaka huu hii nchi damu inamwagika kwa kichaa wa kihutu kupewa lungu.
 
Afande ndio kawa msemaji wa chama. Baada yakuwahutubia waandamanaji ametoa amri ya watu kutawanyika. Waandamanaji nao wamegoma kuondoka, hatuondoki mpaka tumsikilize mgombea anasemaje? Afande anakaa pembeni anampisha mgombea aongee na waandamanaji.
Huku mwingine anagoma kupanda kwenye karandinga, polisi wanam'bembeleza kama bwana harusi, na kwa majigambo anasema "mimi sio mpinzani kwa nini umeniletea dola".

Uzalendo na kanuni za utumishi kazisahau kaamua kuwa msemaji wa chama .
 
Back
Top Bottom